Friday 12 September 2014

JINSI YA KUJITIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tumeangalia mfumo wa uzazi wa mwanaume kwa wakati uliopita lakini leo itapendeza zaidi kujua ni jinsi gani mwanaume anaweza kujitibu tatizo hilo hapohapo nyumbani.
Lakini kabla ya kujua jinsi ya kujitibu hapohapo nyumbani ni vizuri tukayatambua madhara ya upungufu wa nguvu za kiume.
MADHARA MAKUBWA NI YAPI?
Madhara makubwa ni kushindwa kushiriki vizuri tendo la ndoa
Kuwahi sana kufika kileleni
Kushindwa kuinuka kabisa
Kuinuka kwa muda mfupi sana
Kuinuka na kushiriki tendo lakini wakati wako kwenye tendo wanalegea na kushindwa kuendelea.
Kuathirika kisaikolojia
Ongezeko kubwa sana la usaliti ndani ya ndoa
Kushindwa kusababisha ujauzito (kwa sababu ya kushindwa kushiriki tendo vizuri).

VISABABISHI
Na ni vitu gani ambavyo husababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa mwanaume, ni vizuri sana kuvijua ili uweze kuepukana navyo kwa haraka. Navyo ni;
Umri mkubwa kuanzia miaka 45 na kuendelea, uwezo hupungua taratibu.
Kujichua kwa muda mrefu
Kuugua kisukari (Diabetes)
Kuugua presha (High Blood Preasure)
Utumiaji ulevi. Wengi hudhani utumiaji wa vinywaji vikali sana ni dawa lakini hivyo vinywaji vinakufanya uwe tegemezi (addicted) na bila ya hivyo basi unakua huwezi tendo.
Uvutaji sigara kwani sigara ina sumu ambazo si rafiki kwa mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Lishe  mbovu nayo huchangia sana tatizo hili.
VYAKULA RAFIKI
Kwa mwanaume vipo vyakula ambavyo ni rafiki sana kwa mfumo wake wa uzazi na vyakula hivyo au mimea hiyo ni kama;
Matumizi ya asali na tangawizi kwa wingi,
Matunda yenye njano nyingi, mfano, maembe
Matikiti maji na mbegu zake
Mbegu za maboga
 Matumizi ya samaki, mfano, pweza.
Kwa matibabu zaidi wasiliana nasi kwa hizo namba hapo juu ili kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na kujenga familia zilizo bora kwa Watanzania.

No comments:

Post a Comment