Sunday 24 August 2014

AJALI:AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA COASTER MOROGORO

AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA COASTER MOROGORO

Askari wa usalama barabarani wakipima eneo la ajali.
Mwili wa marehemu ukiwa umewekwa ndani ya gari.
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Mgogo, ambaye ni dereva  wa bodaboda amegongwa gari na kufariki papo hapo, jioni hii mkoani Morogoro.Gari iliyomgonga dereva huyo ni aina ya Coaster  inayofanya safari ya Kihonda Mjini mkoani humo.

No comments:

Post a Comment