Sunday 24 August 2014

HAYO NDO MAMBO YA SERENGETI FIESTA WAJA LEO(TANGA)

SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI TANGA

Mshindi wa Serengeti Super nyota 2013, Edo Boy akifungua burudani.Young killer akikonga nyoyo za mashabiki katika Tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo.
Mr. Blue akiwapagawisha washabiki jukwaani katika tamasha hilo.Recho akitumbuiza katika Tamasha la Fiesta mkoani Tanga.Tunda Man naye akifanya yake.Khadija Maumivu akifanya maajabu jukwaani.Shabiki akimkubali jux kwa shoo aliyoionyesha....Linnah naye akilishambulia jukwaa.
...Ni MO Music ndani ya usiku wa Tamasha la Fiesta mjini Tanga.Msanii wa Bongo Muvi Kajala akifuatilia shoo kwa karibu zaidi.Linnah akiwa na wanenguaji wake.Ommy Dimpoz akiwajibika mbele ya mashabiki zake.Madee akifanya makamuzi jukwaani.Vannesa Mdee akiliteka jukwaa usiku wa Fiesta mjini Tanga.

No comments:

Post a Comment