Tuesday 2 September 2014

HII NDO RIPOTI YA MADAWA YA KULEVYA KUTOKA KWA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

OFISI YA MKEMIA MKUU YATOA TAARIFA YA DAWA ZA KULEVYA YA MWAKA 2013 NCHINI

Posted by GLOBAL on September 2, 2014
Kushoto ni  Mkuu wa kitengo cha Jinai Kemia, Elias Mulima pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi na Makosa ya Jinai na Vinasaba, Gloria Omary wakisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari wakimsikiliza Gloria Omary alipokuwa akizungumza katika hafla hiyo.
Sehemu ya waraka huo
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa serikali kupitia maofisa wake, leo imetoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo uliopo Posta jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment