Tuesday 9 September 2014

TAMKO LA KUDHALILISHWA KWA MASHEIKH WANAOTUHUMIWA KWA UGAIDI

Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Ramadhani Sanze akisisitiza jambo.
Sheikh Ally Baswalehe akisikiliza swali.
Viongozi wa Jumuiya na Taasisi mbalimbali za dini ya Kiislam wakiwa katika mkutano huo.
Wanahabari wakisiskiliza tamko la jumuiya hizo.
Kushoto ni Imamu Mkuu Istiqama Ibadhii Nasoro Majid, msemaji wa ‘’forum’’ ya Jumuiya na Taasisi za Kiislam, Rajabu Katimba na Sheikh Baswalehe.
JUMUIYA na Taasisi za Kiislam nchini, leo zimetoa tamko kuhusiana na kudhalilishwa kwa masheikh wanaotuhumiwa kwa ugaidi.

No comments:

Post a Comment