Wednesday 10 September 2014

Uliipata ile ya Nabii Tito?leo wamezungumza Dr.Isack Maro na Anti Sadaka.

chanzo millard.
on-air1
Kama uliiskiliza Hekaheka ya jana ambayo ilikua ikimhusu Nabii mmoja aliyejipa jina la Nabii Tito anayepatikana maeneo ya sinza,ambapo mahubiri yake yako tofauti na maagizo anayofundisha Mungu kwenye vitabu vyake.
tito 
Miongoni mwa mambo ambayo aliyazungumza na kuwashangaza watu ni pale alipodai kunywa pombe sio dhambi na hata kuzaa na msichana wako wa kazi yaani House Girl ni ruksa.
Kingine alichosema ni kuhusu matumizi ya mipira ya kujamiiana(CONDOM) ni dhambi na waumini wake ni WALEVI TU,Leo utamskia Ant Sadaka ambaye ni mwanasaikolojia pamoja na Dr Isack ambao watamwelezea kwakina huyu nabii Tito  matatizo gani aliyonayo ya kiakili.

No comments:

Post a Comment