Monday 29 September 2014

ZAWADI NI ZAWADI::DIAMOND AMZAWADIA WEMA MURANO

Gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa Wema Sepetu na mpenzi wake Diamond Platnumz.
Wema Sepetu akiwa na 'baby' wake Diamond Platnumz.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.
Kupitia akaunti yake ya Facebook na Instagram, Diamond ameweka picha ya gari aina ya Nissan Murano aliyompatia Wema na kuandika kuwa alitamani ampe mpenzi wake huyo vitu vingi, pengine ingesaidia kueleza ni kiasi gani anapenda amuone akifurahi kwenye siku yake ya kuzaliwa japo hana uwezo huo.
Diamond aliongeza kuwa, tafadhali pokea hiki nilichojaliwa na siku zote tambua kwamba Platnumz wako anakupenda sana! Nakutakia bethidei njema beibi. Alimalizia Diamond kupitia Facebook.
Kupitia ukaunti yake ya Instagram, Diamond ameandika hivi:

No comments:

Post a Comment