Tuesday 28 October 2014

MAHAKAMANI::Picha 12 za Chid Benz alipofikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza

chid 4
Rapper Chidi Benz alikamatwa na dawa za kulevya kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam juzi ambapo Mkuu wa Polisi kwenye viwanja vya ndege Tanzania alithibitisha kwamba staa huyu wa hiphop alikutwa na kete 14 alizokiri ni zake za kutumia.
Alikua kwenye safari ya kwenda Mbeya kufanya show lakini ikashindikana manake alibaki mikononi mwa polisi mpaka leo October 28 2014 alipopandishwa Mahakamani Kisutu Dar es salaam kwa mara ya kwanza na kusomewa mashitaka matatu ambayo ni kukutwa na dawa na vifaa vya kutayarishaji uvutaji wa dawa, kusafirisha dawa ya kulevya na utumiaji wa dawa za kulevya.
chid 3
Chid 1
chid 2
chid 5
chid 6
chid 7
chid 8
Chid 9
chid 10
chid 11
chid 12

No comments:

Post a Comment