Tuesday 28 October 2014

MTANDAONI::Soma hapa alichokiagiza Zitto Kabwe kwa CAG na BoT leo..

 Taarifa zilizotufikia hivi punde zimesema Kamati Ya Hesabu za Serikali (PAC) Tanzania imeagiza ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kufanya ukaguzi wa mchakato wa ubinafsishaji wa iliyokuwa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC).
Taarifa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali Zitto Kabwe, kupitia ukurasa wake wa Instagram (@zittokabwe) dakika chache baada ya kumalizika kwa kikao alichokifanya na waandishi wa habari Dar es Salaam leo.
 Zitto IIZitto I

No comments:

Post a Comment