Friday 3 October 2014

MUONEKANO WA BUSTANI ZA BARABARANI DAR

Wafanya kazi wa Strabag wakimwagia sehemu ya bustani iliyoko barabarani.
Sehemu ya bustani inavyoonekana.
Moja ya mti ulioanza kuchipua.
Wafanyakazi wakijaanda kuondoka baada ya kazi.
Muonekano wa bustani iliyopo pembeni ya daraja la Ubungo karibu na stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani.
KAMERA ya GPL, leo imeangazia bustani iliyopo eneo la Stendi Kuu ya Mabasi yaendayo mikoani ya Ubungo jijini Dar es Salaam na kuona namna wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi ya  Strabag wakimwagia miti na majani yaliyopandwa katika  bustani hizo.

No comments:

Post a Comment