Monday 10 November 2014

WACHA MUVI IENDELEE::MISS TANZANIA EPISODE 2.



Baada ya kuvuliwa taji aliyekuwa miss Tanzania Sitti mtemvu kwa kughushi umri...nafasi ya mimi Tanzania imenyakuliwa na Mshindi wa pili Lilian Kamaziama

Lakini  mshindi huyu wa pili naye inasemekana sio raia wa Tanzania ni mnyarwanda. LILIAN nini mtoto wa generali wa jeshi KAMAZIAMA ambaye inasemekana sio mtanzania ni mnyarwanda na mmoja wa makamanda na jasusi wa jeshi la kinyarwanda aliyepenyezwa na raisi Kagame.

No comments:

Post a Comment