Wednesday 20 August 2014

PICHA YA SIKU:ANGALIA PICHA KWA MAKINI...UKIGUNDUA KAA KIMYA..SHIII!!!!!!

Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mbunge wa Songea mjini Dkt Emmanuel Nchimbi, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama, na Naibu Waziri wa Fedha na mbunge wa Iramba Magharibi Mhe Mwigulu Nchemba.