Wednesday 20 August 2014

KILA SIKU MAPENZI YA DIAMOND NA WEMA TUUUUUU!!!!!!DUH,JISOMEE

Maneno ya Diamond Kwa Wema Kuwa na Marefiki Wapenda Starehe Yamchoma Vikali Aunt Ezekiel

Udaku Specially 
Star wa filamu nchini Aunty Ezekiel anadaiwa kuchomwa vilivyo na maneno ya Diamond kwa Wema Sepetu yanayodaiwa kumgusa yeye pia moja kwa moja kama rafiki wa Wema…

Diamond juzi alisema  kuwa Wema anapenda sana starehe na mashoga wapenda kujirusha badala ya kufanya kazi ili kujiletea maendeleo kwa kutumia fursa aliyonayo sasa.
Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na Aunty kikizungumza Udaku Special jana kwa sharti la kutotajwa jina kilisema kuwa baada ya Aunty kuona alichoandika Diamond aliachia msonyo wa kufa mtu kuonyesha hakupendezwa hata kidogo huku akibaki kuumia.

“Urafiki wa Wema  na Aunty muda si mrefu utakuwa kama ule wa Kajala, Aunty anataka kumuacha Wema na bwana’ke yeye achukue hamsini zake” kilisenma chanzo hicho.