Wednesday 20 August 2014

KWA WADADA:JIHADHARI NA SIFA ZA UONGO

Wadada Jihadharini na Kusifiwa Sifa Ambazo Kiukweli Hamna, Zitawagharimu Sana

Udaku Specially on Wednesday, August 20, 2014
Wanaume kwa kawaida hutumia mbinu nyingi pale wanaposaka papuch. 

Mdada utasifiwa hadi sifa ambazo hata malaika hana! Mara romantic eyes... sijui nini nini mouth (mnajua wenyewe mnavyoita) nk nk. 

Wakati huohuo hata anayesifiwa anajua kabisa hizo sifa hana. Lakin anadhani pengne anayemsifia anaziona maana kuna vimisemo vya kudanganyana kama Yako machoni mwa mtu, mapenz hayana formula nk. nk.

Lakini niwaeleze tu hasa wadada ukiona umesifiwa sifa hadi ambazo huna ujue lengo la msifiaji ni kukugegeda tu na akishafanya hivyo lazima akupige chini labda kama ameona kingine cha ziada huko faraghani. 

Jihadharini na sifa zisizo za kweli