Wednesday 20 August 2014

ONA BASI LA ABOOD LILIVOPATA AJALI MAFINGA

BASI LA ABOOD LAPINDUKA MAFINGA NA KUSABABISHA MAJERUHI 30










.

Ajali hii imetokea saa kumi jioni Jana hakuna aliyepoteza maisha majeruhi zaidi ya 30 wamekimbizwa katika hospitali ya Mafinga kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia mtandao huu.