Thursday 28 August 2014

MAMBO YA WAPENDANAO HAYO:MARIAH CAREY NA NICK ,NDOANA

MARIAH CAREY, NICK CANON WABWAGANA BAADA YA MIAKA SITA

  August 28, 2014

Mariah Carey alipokuwa mjamzito
ILE ndoa ya kijana mdogo, msanii Nick Canon (33) na mwanadada (shuga-mami) mwimbaji Mariah Carey (44)  imefikia ukingoni baada ya kuweko kwa miaka sita.…

Mariah Carey alipokuwa mjamzito
ILE ndoa ya kijana mdogo, msanii Nick Canon (33) na mwanadada (shuga-mami) mwimbaji Mariah Carey (44)  imefikia ukingoni baada ya kuweko kwa miaka sita.
Wanandoa hao wakiwa na watoto wao Moroccan and Monroe.
Hata hivyo, mtengano huo umezusha mgogoro wasiwasi mkubwa, hususani kwa Canon, kuhusu hatima ya watoto wao mapacha waliobahatika kuwapata – mmoja wa kiume na mwingine wa kike.

Carey na Canon enzi za upendo wao.
Sababu za kutengana kwa wasanii hao wanaoishi California, Marekani, bado hazijawekwa wazi.

No comments:

Post a Comment