Friday 29 August 2014

MBUZI WA BWANA HERI HAO!!!WANAKULA SHAMBA LA BWANA HERI

MIFUGO YANASWA IKITEMBEA BARABARANI JIJINI DAR ES SALAAM

Posted August 29, 2014
Mbuzi wakiwa kandokando ya barabara ya Kawawa.
MCHANA huu kamera yetu imewanasa mbuzi wakitembea kando ya barabara ya Kawawa, jijini Dar es Salaam eneo la Msimbazi ikiwa haina mwangalizi,  jambo ambalo ni hatari kwa watumiaji wa barabara hiyo, hasa wanaotumia vyombo vya moto.

No comments:

Post a Comment