Monday 29 September 2014

AJALI YATOKEA BARABARA YA MOSHI - ARUSHA LEO

Polisi wa usalama barabarani akiliangalia kwa karibu moja ya gari lililoharibika vibaya katika ajali iliyotokea mchan huu katika eneo la Sadal njia ya Moashi - Arusha.Gari la kubebea wagonjwa 'Ambulance' kutoka KCMC likiwa limeharibiwa vibaya baada ya ajali hiyo.Raia wakishudia ajali hiyo

No comments:

Post a Comment