Sunday 14 September 2014

BALAA:::Mkanda wa Ngono wa Iggy Azalea na ex Wake Unaweza Kuuza Kuliko ule wa Kim K na Ray J


Mmiliki wa mtandao wa ngono wa Vivid, Steve Hirsh amesema mkanda wa ngono wa rapper Iggy Azalea unaweza ukauza kuliko ule wa Kim Kardashian na Ray J.

Rapper wa Houston, Jefe Wine ndiye anayedaiwa kurekodi mkanda huo akifanya mapenzi na Iggy. Wine anadai kuwa Iggy alikuwa akijua kuwa wanarekodi mkanda huo licha ya yeye kudai hakuwa na taarifa.

Hirsh, amesema ameshakutana na Wine kufanya makubaliano ya kuununua. Wanasheria wa Iggy Azalea wamesema wamejiandaa kuchukua hatua za kisheria kutokana na mkanda huo.

Kama ni kweli Iggy yupo kwenye tape hiyo haiwezi kutolewa kihalali bila ridhaa yake.

No comments:

Post a Comment