Friday 26 September 2014

Breaking news msanii wema sepetu afariki dunia

. Msanii na miss Tanzania mstaafu Wema Aizak Sepetu amefariki dunia akiwa njiani akiwaishwa hospitali baada ya kuanguka akiwa ofisini kwake.  Msanii  huyu maarufu nchini inasemekana alipata mshtuko baada ya kusikia kuwa mpenzi wake alipata ajali mda mchache uliopita. Hayo ni baadhi ya matukio katika muvi mpya iliyotoka jana inayoitwa My Love. Ndani yupo Wema alicheza kama mke wa Hemed phd, tafadhali usikose nakala yako....

No comments:

Post a Comment