Tuesday 9 September 2014

DIAMOND ANAYAJUA HAYA???AU WEMA ALIPOZI TU NA PREZZOOO

Hivi karbuni wema na dangote wamekua hawaelewani katika mapenzi yao, na sasa kuna uvumi mwingi mitaani hizi ni baadhi ya picha za wema akiwa na prezzoo wa kenya zilizowashtua wengi kwani prezzo anajulikana kwa tabia ya kupenda mastaa hivyo watu kubaki na maswali kulikoni picha hizi






No comments:

Post a Comment