Tuesday 9 September 2014

MWAKA WA DIAMOND HUU:::ACHUKUA TUZO YA KOLABO HUKO AUSTRALIA.


Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz.
Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo nyingine ya Afro-Australia Music and Movie Awards (AAMMA) 2014 kutoka Australia ya Collabo Bora ya Mwaka kupitia nyimbo aliyoshirikishwa na Desert Eagle iitwayo Everyday. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Diamond aliyeko nchini Nairobi amewajulisha mashabiki wake kuhusu tuzo hiyo kwa kuandika hivi:

Views: 54

No comments:

Post a Comment