Wednesday 3 September 2014

SAMAHANI KWA HIZI PICHA..AJALI AJALI..MTOTO AGONGWA NA GARI SOWETO MBEYA...

Wednesday, September 3, 2014
MTOTO AGONGWA NA GARI ENEO LA SOWETO LEO , DEREVA AKIMBIA.

Mtoto huyo ukiwa kando muda mchache baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Double Cabin ambayo ilikimbia baada ya kufanya tukio hilo
Baadhi ya wasamalia wema wakiwa wamefika eneo la tukio kwa ajili ya kutoa msaada kwa mtoto huyo 
Baadhi ya wasamalia wema wakimchukua mtoto huyo kwa ajili ya kuupeleka hospitali
 Mashuhuda

 Tukio hili limetokea mida ya saa Tano asubuhi leo ambapo chanzo cha ajali hiyo ni Mwendo kasi wa Gari hilo ambapo halikuchukua tahadhari na kusababisha kugongwa kwa Mtoto huyo 

Picha na Mbeya Yetu.

No comments:

Post a Comment