Friday 10 October 2014

ELIMU BORA::MAZINGIRA MABOVU YA UTOAJI ELIMU

Mwalimu wa shule ya msingi Nyiboko wilaya ya Serengeti akifundisha wanafunzi wa darsa la tano wakiwa wamekaa chini,juu hakuna paa
pamoja na mazingira haya mnanielewa?
Wanafunzi wa darasa la nne na sita shule ya msingi wa Nyiboko wilaya ya Serengeti wakiwa wamekaa darasa moja kwa ajili ya kusoma ,pamoja kutokana na kukosa vyumba vya madarasa.
wanashindwa kumfuatilia mwalimu

No comments:

Post a Comment