Thursday 16 October 2014

MAAJABU::Miss Tz 2014 ni ajuza?

MISS TZ AVULIWE TAJI
Haya wamempa taji kwa kujuana na baba yake. Sasa tunaomjua na ambao tumesoma nae sekondari  tumewaletea proof kuwa ni mkubwa.



na hakuruhusiwa kushiriki miss tz. Ana Miaka 25 kuelekea 26. Records zake zote za marekani zinaonyesha ana miaka 25 sasa imekuwaje kurudi Tanznaia kawa na miaka 18.

Huyu miss anatakiwa kuvuliwa taji mara moja na mshindi wa pili apewe hilo taji. wajue kuwa huu ushahidi tunautuma mpaka kwa kamati ya MISS WORLD wasitufanye wajinga. Huyu dada tumemaliza nae  form 6 2007 hivi anakuwaje na miaka 18 leo hii? okay hata angesema ana miaka 22 ambayo ni limit ya kushiriki miss TZ still ni uongo na ushuzi mtupu. Na uzuri huku marekani kila kitu kinabaki online na ndio vinamuumbua.Na records zake za chuo kikuu hapa marekani pia zinasema she is turning 26. vichwa wa jamii forums wamempigia hesabu ya age yake na elimu yake na matokeo ndo haya18yrs of ageMinus 2yrs masters 3yrs bachelor = 13yrs of ageMinus 6yrs secondary education = 7yrs of ageMinus 7yrs primary education = 0yrs of ageMinus 2yrs nursery school = -2yrs of ageMinus 3yrs ya kugrow at hom kabla ya nursery xcul = -5 yrs of ageSo ur friend jus conjured a new miracle,, alianza kusoma 5yrs kabla hajazaliwaHuyo ni Miss Tz wetuuu…Bado tu wanamwandama miss tzkwa maana hiyo huyu mwenzetu yeye alianza shule 5 yrs kabla hajazaliwa.Lundenga miss wako kakiuka masharti ushahidi huo hapo juu. Lakini kwa vile umeshakula pesa za Mtemvu utajidai sio kweli. Basi tunaomba uonyeshe kuwa sio kweli kwa kutoa passport ya huyu binti hadharani. Hapana hatutaki passport mpya iliyotengenzwa mwaka huu.Tunaomba passport yake aliyoingia nayo marekani iwekwe hadharani. Hapo hapo tutaomba na records zake za DMV huku marekani ziwekwe hadharani.Huko miss world mnaenda kujiaibisha tu mwaka tu mwaka huu, tumeshawastua.All in all Lundenga tunaomba utoe tamko rasmi kuhusu hili na utuonyeshe Passport ya siti aliokuwa anaitumia marekani. Hatutaki kuona passport mpya all peoples knows in Tanzania you can make passport in any age you need.MEDIA HOUSE TUNAOMBA MTOE SUPPORT KWA HILI. MKIMBIZENI LUNDENGA HADI TOILET MPAKA AONYESHE OLD PASSPORT YA SITTI WASITUFANYE WATANZANIA WAJINGA NAMNA HIYO. WANASIASA WATUTAPELI ,LUNDENGA NAE ATUTAPELI HAIWEZEKANI.YEYE SI ALIDAI SITI HAKUPENDELEWA HAYA SASA AMEKIUKA MASHARTI AMVUE TAJI. HAPO ATASEMA NINI TENA?MWEEEEEH, HILI BALAA SASA. HUKO INSTA SASA WASHARUSHA HII. JAMII FORUMS NDO WAMETOA NA CALCULATOR ZAO KABISA WANAPIGA HESABU….HAHAHAHAH
Source: www.u-turn.co.tz

No comments:

Post a Comment