Saturday 11 October 2014

UTALII RUAHA::HIFADHI YA TAIFA YA RUAHA IRINGA NI FAHARI YA KUSINI ,TEMBELEA LEO UONE WANYAMA

Twiga  wa  hifadhi  ya Ruaha  Iringa 
Watalii wa ndani wakiingia katika  nyumba za  kulala  wageni hifadhi ya Ruaha 
Moja kati ya  nyumba ya  kulala  wageni hifadhini hapo 
Tembo akiwa kando ya mto  Ruaha mkuu hifadhi ya Ruaha 
Clement Sanga  akitazama moja kati ya  gari la kitalii 
Hii ni ndege  ndogo ya  kulinda  hifadhi hiyo dhidi ya majangili 
Tembo na mwanae 
Twiga  akila  matawi ya miti huku akiwa amelala 
Ni maeneo yanayovutia  zaidi 
Swala  wa  hifadhi ya  Ruaha 
Kiboko  katika  mto  Ruaha 
Ndege wa  kuvutia 

No comments:

Post a Comment