Saturday 11 October 2014

HABARI NA PICHA::MKUTANO WA CCM IRINGA MJINI....CHADEMA MPO???

msafara  wa  Kiana  ukiwasili uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa
Wana CCm wakiwa na mabango katika  mkurtano wa  Kinana jimbo la Iringa mjini
Kamanda  wa UVCCM mkoa  wa Iringa  Salim Asas kushoto  akiwasilia na katibu mkuu Bw Kinana kulia
Kinana akiwasili uwanja  wa Mwembetogwa  leo
Umati  wa  wananchi  na  wanaccm waliofika kumsikiliza Kinana
wananchi jimbo la Iringa mjini wakimsikiliza  katibu mkuu wa CCM
Aliyekuwa  mmoja wa makada wa  Chadema Kalenga  akirejesha kadi ya  chadema
Kinana  kulia  akiwa katika  mkutano wake  leo mjini Iringa kulia kwake ni Mnec Iringa Bw Madenge
Umati wa wananchi   mjini Iringa
Kinana  akiwahutubia  wananchi wa Iringa mjini leo

No comments:

Post a Comment