Friday 17 October 2014

TETESI::GARI JIPYA LA KIFAHARI LINALODAIWA KUWA LA DIAMOND PLATNUMZ


 

Gari aina ya Mercedes 350 Cdi inyosemekana inamilikiwa na msanii Diamond.

Hiyo ni Mercedes Ml 350 Cdi ya mwaka 2014 Radio Mbao moja ya mjini imevumisha kwamba ni kitu kipya cha Diamond Platnumz bado hata namba hakijabatizwa nazo na ni kipya kabisa kama Waswahili wasemavyo zero kilomita.
Hivi wote mwajua hakuna siri dunia hii, na kama halipo lajongea, ukweli utajulikana tu…
Gari ya kifahari.
Gari ya kifahari.
Kwa sasa Diamond anatamba na kibao cha 'Mdogo mdogo'.  
Kwa sasa Diamond anatamba na kibao cha ‘Mdogo mdogo’. Picha na Taarifa News

No comments:

Post a Comment