Saturday 16 August 2014

HATARI HATARI.....ONA MAJERUHI WALIOLIPUKIWA NA JIKO LA KUYEYUSHIA VYUMA KIWANDANI

HAWA NDIYO MOJA WA MAJERUHI WA KIWANDA CHA SAYONA JIJINI MWANZA WAKIHANGAIKA NA VIDONDA
BAADA YA KULIPUKIWA NA JIKO LA KUYEYUSHIA VYUMA KATIKA KIWANDA HICHO.



 Majeruhi wa Kiwanda cha Sayona LUCAS LUBINZA akiwa ameumia vibaya baada ya kulipukiwa na jiko la kuyeyushia vyuma katika kiwanda cha Sayona  kilichopo Nyang'homango Jijini Mwanza Picha na ANTONY SOLLO
 
 Majeruhi wa Kiwanda cha Sayona Lucas Nkalango akiwa ameumia vibaya baada ya kulipukiwa na jiko la kuyeyushia vyuma katika kiwanda cha Sayona  kilichopo Nyang'homango Jijini Mwanza Picha na ANTONY SOLLO



  Majeruhi wa Kiwanda cha Sayona LUCAS LUBINZA akiwa ameumia vibaya sehemu ya nyuma baada ya kulipukiwa na jiko la kuyeyushia vyuma katika kiwanda cha Sayona  kilichopo Nyang'homango Jijini Mwanza Picha na ANTONY SOLLO



 Kwa upande wa nyuma anavyoonekana Lubinza akiwa ameungua vibaya