Monday 18 August 2014

KUPATA KAZI NI KAZI:AJIFANYA WA KIKE ILI AWE HOUSEGIRL...

Mwanaume Aliye Jifanya Mwanamke na Kupewa Kazi ya House Girl Akamatwa

August 18, 2014
Mwanaume mmoja huko nchini Uganda Amekamatwa baada ya Kujifanya ni Mwanamke ili apate kazi ya House Girl, Zoezi lake hilo lilifanikiwa na kuweza kupata hiyo kazi lakini siku zilivyozidi kwenda Boss wake ambae ni Mama Mwenye Nyumba alishtukia mchezo na kugundua ni Mwanaume, Baada ya kugundulika jamaa alichukua kipigo kutoka kwa Majirani , alipoulizwa kwanini ameamua kufanya hivyo alijitetea akasema Maisha ni magumu na kupata kazi kama mwanaume ni ngumu...