Monday 18 August 2014

UNADHANI HUYU BINTI ANA MIAKA MINGAPI???

Rais Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha 4, Neema Mtwanga mwenye umri wa miaka 16 wa shule ya Sekondari Naboti iliyopo mkoani Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa Insha katika shindano lililoandaliwa na SADC.
Picha: Rais Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha 4, Neema Mtwanga mwenye umri wa miaka 16 wa shule ya Sekondari Naboti iliyopo mkoani Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa Insha katika shindano lililoandaliwa na SADC.

kama umefurahishwa na ushindi wa binti huyu, tupia 'HONGERA' yako hapa tumpongeze.