Friday 22 August 2014

LULU AHONGWA HELA ILI ANUNUE GARI wakati akina nani WANAHONGWA GARI...NANI MJANJA?

Lulu Michael Aonyesha Kadi ya Gari yake Mpya, Aseme yeye si Kama Wakina Nanii Wanaohongwa

Friday, August 22, 2014
Kwa Kuonyesha kuwa yeye ni Tofauti na Mastaa Wengine wa Kike Walioingia katika Mkumbo wa Kuhongwa Magari wakati kadi ya Gari lina jina la muhongaji ambayo upelekea kunyang'anywa Penzi likiisha Mrembo Lulu Michael Ameonyesha Kadi ya Gari Lake Jipya aina ya Rav 4 New Model ,
Lulu Amesema yeye si Mswahili ndo maana ameamua kuonyesha kadi ya gari yenye jina lake ili kutowapa nafasi watu kusema amehongwa , Ameongeza kuwa yeye si kama wakina nanii ambao waliohongwa na kunyang'anywa magari... Hongera sana Lulu Michael Kwa Gari Jipya.

No comments:

Post a Comment