Thursday 4 September 2014

AGA KHAN YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA HOSPITALI ZA HALMASHAURI 4 ZA MBEYA‏

Thursday, September 4, 2014


 Mwenyekiti wa kamati ya afya Aga Khan Mbeya (kushoto)Sultan Thawer, akitoa taarifa kabla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya tiba kwa Halmashauri nne za Mkoa wa Mbeya.
 Mwenyekiti wa kamati ya afya Aga Khan Mbeya (kushoto)Sultan Thawer, akitoa taarifa kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro kabla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya tiba kwa Halmashauri nne za Mkoa wa Mbeya.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro,akisaidiwa na Mganga mkuu wa Mkoa,Dk. Seif Mhina,Katibu tawala Mkoa wa Mbeya, Mariam Mtunguja na Mwenyekiti wa Kamati ya afya Aga Khan Sultan Thawer wakikata utepe kuashiria kukabidhi msaada wa vifaa hivyo.
 Mwenyekiti wa kamati ya afya Aga Khan Mbeya,Sultan Thawer, akipongezwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro baada ya kukabidhi msaada.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiangalia baadhi ya vifaa vilivyotolewa na Hospitali ya Aga Khan.
 Meneja wa Hospitali ya Aga Khan Mbeya, Abel kide, ambaye pia ni mratibu wa Mradi wa tuunganishe mkono pamoja akimuonesha moja ya mashine mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro.
 Mkuu wa Mkoa na viongozi wa Aga Khan wakiangalia moja ya mashine zilizokabidhiwa kwa Halmashauri nne za Mkoa wa Mbeya.
Picha ya pamoja
Chanzo Mbeya yetu.

No comments:

Post a Comment