Friday 12 September 2014

Ex-Wife wa Prezzo Afunguka kuhusu Prezzo, Kumbe Prezzo si Lolote wala Chochote, Jisomee Hapa

Mwanamama mmoja ajulikanaye kama DAISY KIPLAGAT ambae amejitambulisha kuwa yeye ni Baby Mama wa rapper kutoka nchini Kenya Prezidaa PREZZO, aliingia kwenye group hilo na kuanza kumwaga radhi kuhusiana na msanii huyo kuwa hana ushirikiano kabisa katika kulea mtoto ambae amezaa na mwanamama huyo. Daisy aliongeza kuwa hataki chochote kutoka kwa rapper huyo ila kinachomboa ni pale jinsi msanii huyo ambae hajawasiliana na mtoto wao huyo wa kike tokea akiwa na miaka 2 lakini anaendelea kujitamba kuwa ana mtoto wakati hajawahi kutoa hata senti moja kusaidia kulea mtoto huyo.

“He goes around on TV and since he is able to hold a mic or have fake written interviews he is always claiming to be taking his daughter to the best school in Kenya and that she is her princess spoils her rotten. He has never paid her fees never paid any dime for her up keep all this is my sweat and my blessed parents and family support. I don’t need to communicate with him but I wanted to have this space to let you all know that this guy instead chooses to go around with women and lie to them how rich he is and yet he doesn’t have anything and stays at his mum’s house. So when you all hear how he does and loves his daughter please don’t be fooled,” – Daisy Kiplagat.

No comments:

Post a Comment