Sunday 14 September 2014

NANI ANAFAA KUWA MISS TZ?

Warembo 30 wanaowania taji la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia kambini tayari kwa safari ya fainali za Miss Tanzania 2014 zitakazofanyikia mapema mwezi Oktoba jiji Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment