Wednesday 15 October 2014

EBOLA DISASTER::MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA


Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg (kulia) akiwa na mkewe, Priscilla Chan.
Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema yeye na mkewe Priscilla Chan, watachanga dola milioni 25 za kusaidia vita dhidi ya Ebola.

No comments:

Post a Comment