Wednesday 15 October 2014

MBEYA::VIJANA WA FOREST MBEYA WAMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUFANYA USAFI

Vijana wa kata ya Forest jijini Mbeya wameungana pamoja bila ya kujali itikadi zao za kisiasa na kufanya usafi maeneo yote yanayozungu  kata yako ya Forest kumuenzi Baba wa taifa zoezi hili litaendelea zaidi ya wiki mbili pia wameahidi kumchukulia hatua mtu yeyote yule atakaekiuka kanuni sa usafi kata hiyo ya Forest 


Hongereni sana vijana wa Forest kwa mfano huo Mbeya yetu tunawapongeza sana  tunaomba vijana wa kata nyingine igeni mfano huu siyo kila siku tuwategemee Halmashauri ya jiji waje watufanyie usafi



Pia vijana hawa wanawashukuru wadau mbalimbali waliojitokeza kuwasaidia vifaa vya kufanyia kazi pamoja na maji ya kunywa






Baadhi ya Vijana wa kata ya Foret wakiwa katika picha ya pamoja 

No comments:

Post a Comment