Sunday 17 August 2014

HUYU NDO MWANAMKE MWENYE KIUNO KIDOGO DUNIANIIII?

Cathie Jung  ana miaka 77 na ndiye mwanamke mwenye kiuno chembamba zaidi Duniani. Yumo miongoni mwa watu kwenye kitabu maarufu cha kumbukumbu za Guinness world hakika hii inashangaza kimtindo.