Thursday, 14 August 2014

MUVI inaendelea:WIZI WA KIHISTORIA WA CHILE


Wizi wa kihistoria waleta aibu Chile

 14 Agosti, 2014 

Moja ya magari yaliyokuwa yamebeba pesa hizo
Chile imemfuta kazi afisaa mkuu wa usalama katika uwanja rasmi wa ndege baada ya tukio la kuaibisha la wizi wa zaidi ya dola milioni kumi katika sehemu ya kupakia mizigo.
Waziri wa ulinzi George Burgos, amesema kuwa uchunguzi umeanzishwa kuhusu namna wanaume 8 waliokuwa wamejihami kuiba pesa kutoka kwa gari lenye ulinzi mkali katika uwanja wa ndege katika mji mkuu Santiago.
Alitaja tukio hilo la Jumanne kama la kutia aibu na la kushangaza sana na linalostahili hatua kali.
Picha za video, zilionyesha genge hilo lililofanya kitendo chao kwa kujidai kuwa wafanyakazi wa uwanja wa ndege.
''Wakati uchungizi unapoendelea, afisa mkuu wa usalama katika uwanja wa ndege, Arturo Merino Benitez Airport ameachishwa kazi,'' alisema bwana Burgos.
Pia aliahidi kwamba usalama utadhibitiwa katika uwanja huo na kufanyiwa mabadiliko makubwa.
Wezi waliingia katika sehemu ya kupakia mizigo ya uwanja wa ndege wakiwa wamevalia nguo za kazi,na kulisimamisha gari lililokuwa limebeba pesa hizo. Inaarifiwa gari hilo lilikuwa na ulinzi mkali sana.
Pesa hizo zilikuwa zinaelekea katika benki na kampuni za migodi Kaskazini mwa Chile.
Wanaume hao waliwaondoa walianzi kwenye gari hilo na kuchukua pesa kabla ya kutoroka bila hata ya kufyatua risasi yoyote.
Kitendo chenyewe cha wizi ambacho ni kikubwa sana katika historia ya Chile, hakikunaswa kwenye kamera za ulinzi,bali walionekana wakitoroka.

KWA SHABIKI WA MAN U TU kama mpinzani wako usisome

Tabiti zapigwa marufuku Old Trafford

 14 Agosti, 2014

Uwanja wa Manchester United Old Trafford
Klabu ya soka ya Manchester United imepiga marufuku uingizwaji wa tabiti au (Tablets) na komputa za Laptop kwa watakaokuwa wanaingia katika uwanja wake.
Klabu hiyo inasema imechukua hatua hiyo,kuambatana na taarifa za kijasusi ikiongeza kwamba kikwazo hicho kinaambatana pia na mikakakti mipya ya ukaguzi wa vifaa vya elektroini katika viwanja vya ndege.
Ilisema kuwa kinyume na hali ilivyo katika viwanja vya ndege, haitawezekana kuhakikisha ikiwa vifaa vinavyoletwa na mashabiki ikiwa ni ghushi kwa kutaka waviwashe.
Mashabiki wa United
Polisi hata hivyo wamesema hawajahusika na hatua ya kupiga marufuku vifaa hivyo.
Taarifa kwenye mtandao wa klabu hiyo, imesema marufuku hiyo itahusisha tabiti kubwa na ndogo, pamoja na vifaa vingine vikubwa vya elektroniki.
Lakini Smartphones zinaruhusiwa ila kwa masharti fulani.
Maafisa wa ligi ya Premier wanasema hawajahusika na marufuku hiyo
Msemaji wa klabu hiyo, aliambia BBC kwamba imechukua hatua hiyo baada ya kupokea ushauri lakini hakusema ushauri huo unatoka kwa nani.
Aliongeza kwamba wasiwasi kuwa klabu hiyo haitaki mashabiki kurekodi video za mechi zinapokuwa zinaendelea na kuwazuia mashabiki wengine kutizama mechi, hauna msingi.
Msemamji wa ligi ya uingereza naye amesema kwamba wao hawajahusika kivyovyote na marufuku hiyo.

AJALI KAZINI:Mkono wa rubani wang'oka hewani

 14 Agosti, 2014 

Mkono wa Rubani uling'oka akitaka kutua kwa dharura.
Rubani mmoja nchini Uingereza alipoteza mwelekeo angani akiendesha ndege ya biria baada ya mkono wake wa bandia kuchomoka wakati alipokua akielekea kutua.
Rubani huyo wa shirika la ndege la Flybe mwenye umri wa miaka 46 , aliruka kutoka uwanja wa ndege wa Birmingham, akiwa na abiria wapatao 47 ndani yake, wakati alipokaribia kutua katika uwanja wa ndege wa mji wa Belfast alikumbana na upepo mkali angani ambao ulimsababisha atue kwa ghafla ilivyo bahati hakukuwa na madhara kwa ndege yenyewe wala abiria.
Katika maelezo aliyoyatoa baada ya manusura, mkurugenzi wa shirika hilo la ndege la Flybe Captain Ian Baston, anayehusika pia na masuala ya usalama katika shirika hilo la Flybe alimuelezea rubani kiongozi wa ndege hiyo aliyekua akiiongoza kuwa ni mwenye uzoefu wa hali ya juu na mwenye kuaminiwa pindi awapo angani, na hivyo usalama wa abiria na wahudumu huwa katika mikono iliyo salama sana .
Muda mfupi tu kabla ya kuielekeza ndege Dash 8 kutua kwa dharula rubani huyo alijikagua na kuona kwamba mkono wake bandia wa shoto ulikua sawa lakini baada ya tukio hilo ghafla akajikuta mkono huo umechomoka.
Ndege hiyo ilitua kwa mlio mkubwa ingawa hakuna mtu aliyejeruhiwa na pia ndege haikuharibika.
Rubani alisema atakuwa makini zaidi katika siku za usoni kuhusiana na mkono wake huo bandia.
CHANZO:bbcswahili.

KWANIN DR.SLAA NA MNYIKA WALITAKA KUDUNGULIWA....

Habibu Mchange Akana Tuhuma za Kuhusika Kulipua Helkopta iliyombeba Mnyika na Slaa

Written By Udaku Specially on Thursday, August 14, 2014 
Leo mchana katika mkutano wake na waandishi wa habari,Mchange amewashambulia waziwazi viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na maendeleo na kuwatuhumu kuhiska na mauaji ya aliyekua mbunge wa CHADEMA Tarime,marehemu Chacha Wangwe,kisha kumkana mtu aliyehusika na mauaji hayo Deus Mallya,wakati alikuwa mjumbe katika kamati iliyokuwa chini ya John Mnyika,na rafiki wa Mnyika lakini Mnyika kumkana hajawai hata kumuona.

Kisha kawataja Lissu,Mbowe na Slaa kuajiri vijana na kuwalipa kuwatesa vijana wanaoonyesha kuiunga mkono CCM katika kampeni mbalimbali za chama,hasa kwa kumwagia watu tindikali.

Pia amesema Lissu ni mbinafsi na fisadi aliyedhurumu fedha za miradi ya mazingira,na kujenga nyumba ya ghorofa Tegeta,Mbowe anahujumu mamilioni ya CHADEMA,na Slaa akihujumu fedha za chama kulipia mkopo wa NSSF.


UNAWAJUA MABWABWA WA BONGO MOVIES au stori za kitaa tu?

Bongo Bovie Hakuna Wanaume Mashoga, Wote Marijali- Steve Nyerere

Udaku Specially on Thursday, August 14, 2014
Mwenyekiti wa Bongo Movie Tanzania Steve Nyerere amefunguka na kuweka wazi kuwa katika Tasnia ya filamu Tanzania hakuna muigizaji wa kiume mwenye tabia za kishoga,Steve amesema hayo leo alipokuwa katika kipindi cha Power Jams

ya East Africa Radio leo alipokuwa akielezea changamoto alizokutana nazo wakati akichat Live kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano kuanzia saa sita mchana.
Steve amewataka watanzania kuwa na uzalendo na kuthamini wasaniii wa nyumbani na kazi zao na sio kuwapakazia na kuwaharibia sifa zao kwa maneno machafu na kuwapakazia mambo yasiyokuwa na ukweli ndani yake,Steve alisema hayo pale alipokuwa akijibu swali la moja ya shabiki wa ukurasa wa Facebook wa EATV.

KWA WANAOPENDA MICHEPUKO TU....JIBU HILI HAPA..wengine kimyaaa

Dawa Salama ya Kudhibiti Michepuko Hatimaye Yapatikana

posted on Thursday, August 14, 2014

Dunia ina mambo Kampuni moja ya nchini Japan imedai kufanikiwa kutengeneza midoli ya ngono ‘sex dolls’ yenye muonekano halisi wa mwanamke ambayo huwa na ngozi ya mwili kama ya binadamu na macho kama ya ukweli. Mdoli wa ngono Orient Industry imesema ni ngumu kuitofautisha midoli hiyo na msichana halisi pale unapoitazama kwa mara ya kwanza.

Midoli hiyo imepewa jina la ‘Dutch Wives’, na matangazo ya midoli hiyo yanasema kuwa iwapo mwanaume akifanya nayo mapenzi hawezi kumtamani mwanamke halisi tena. Bei ya midoli hiyo ni £1,000 ( zaidi ya shilingi milioni 2.7) kwa kila mmoja. Midoli hiyo imetengenezwa kwa kuweka viungo ambavyo vinamfanya mtumiaji kuigeuza katika
position atakayo.

CHANZO: Daily Mail

KITUKO CHA MWEZI:AMEZA SIMU KISA MESEJI ya mchepuko.

Kwenye vile visa vya mapenzi na simu… hii nayo ilivunja rekodi

Screen Shot 2014-08-01 at 8.50.06 AM
Kuna zile habari ambazo hata ziwe zimetokea miezi au miaka mingapi nyuma, huwezi tu kuzisahau kwa sababu sio za kawaida kuzisikia au kuzishuhudia kabisa.
Screen Shot 2014-08-01 at 8.33.09 AM
Tumekua tukisikia visa vingi sana vinavyotokana na mapenzi, yani pale Mwanamke au Mwanaume anakuta msg za ajabu baada ya kuchukua simu ya mpenzi wake ila hii ya Brazil ilivunja rekodi.

Ilitokea kwa binti mmoja kumeza simu muda mfupi tu baada ya boyfriend (Renato) wake kutaka kusoma msg ambapo msichana alikimbia na simu kutoka kwenye mikono ya boyfriend na kuimeza kwa kuhofia angeikamata simu.
Ilibidi akimbizwe hospitali na kufanikiwa kutolewa hiyo simu tumboni ambapo haikujulikana ni nini ambacho mrembo huyu alikua anakificha kwa boyfriend wake ila iliripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari duniani kwamba tayari mrembo huyu alikua na mwanaume mwingine nje ya uhusiano.

HATIMAYE JUX APATA JIBU...Atasubiri hadi muda huu WA SHEMEJI

Hatimaye Jacklie Cliff Amehukumiwa Kifungo Jela-Huu Ndio Muda Atakao Kaa Jela
Thursday, August 14, 2014 
Kama wengi Mjuavyo Kuwa Mrembo wa Bongo Jack Cliff alikamatwa China Mji wa Macau kwa Tuhuma za Kubeba Madawa ya Kulevya , Sasa mpya kutoka huko zinasema Kesi ya mrembo huyo imesomwa na Amehukumiwa Kifungo cha Miezi Sita Gerezani.

Chanzo cha habari hiyo hakijatoa maelezo ya kutosha kwanini iwe miezi sita tuu na wakati tunasikiaga kuwa huko adhabu kwa makosa kama hayo ni kali sana na hufikia hata kunyongwa....tutaendelea kufuatilia na kukuletea habari kamili ...


THE TRUE LEGEND NEVER DIE...GADAF IS ALIVE WITH HIS THOUGHTS.

ANOTHER CHAPTER of  THE GREEN BOOK by MUAMMAR GADAF
THE PARTY
The party is a contemporary form of dictatorship. It is the modern instrument of dictatorial
government. The party is the rule of a part over the whole. As a party is not an individual, it
creates a superficial democracy by establishing assemblies, committees, and propaganda
through its members. The party is not a democratic instrument because it is composed
only of those people who have common interests, a common perception or a shared
culture; or those who belong to the same region or share the same belief. They form a
party to achieve their ends, impose their will, or extend the dominion of their beliefs,
values, and interests to the society as a whole. A party's aim is to achieve power under the
pretext of carrying out its program. Democratically, none of these parties should govern a
whole people who constitute a diversity of interests, ideas, temperaments, regions and
beliefs. The party is a dictatorial instrument of government that enables those with
common outlooks or interests to rule the people as a whole. Within the community, the
party represents a minority.
The purpose of forming a party is to create an instrument to rule the people, i.e., to rule
over non-members of the party. The party is, fundamentally, based on an arbitrary
authoritarian concept - the domination of the members of the party over the rest of the
people. The party presupposes that its accession to power is the way to attain its ends,
and assumes that its objectives are also those of the people. This is the theory justifying
party dictatorship, and is the basis of any dictatorship. No matter how many parties exist,
the theory remains valid.
The existence of many parties intensifies the struggle for power, and this results in the
neglect of any achievements for the people and of any socially beneficial plans. Such
actions are presented as a justification to undermine the position of the ruling party so
that an opposing party can replace it. The parties very seldom resort to arms in their
struggle but, rather, denounce and denigrate the actions of each other. This is a battle
which is inevitably waged at the expense of the higher, vital interests of the society. Some,
if not all, of those higher interests will fall prey to the struggle for power between
instruments of government, for the destruction of those interests supports the opposition
in their argument against the ruling party or parties. In order to rule, the opposition party
has to defeat the existing instrument of government.
To do so, the opposition must minimize the government's achievements and cast doubt on
its plans, even though those plans may be beneficial to the society. Consequently, the
interests and programs of the society become the victims of the parties' struggle for
power. Such struggle is, therefore, politically, socially, and economically destructive to the
society, despite the fact that it creates political activity.

Thus, the struggle results in the victory of another instrument of government; the fall of
one party, and the rise of another. It is, in fact, a defeat for the people, i.e., a defeat for
democracy. Furthermore, parties can be bribed and corrupted either from inside or
outside.
Originally, the party is formed ostensibly to represent the people. Subsequently, the party
leadership becomes representative of the membership, and the leader represents the party
elite. It becomes clear that this partisan game is a deceitful farce based on a false form of
democracy. It has a selfish authoritarian character based on maneuvres, intrigues and
political games. This confirms the fact that the party system is a modern instrument of
dictatorship. The party system is an outright, unconvincing dictatorship, one which the
world has not yet surpassed. It is, in fact, the dictatorship of the modern age.
The parliament of the winning party is indeed a parliament of the party, for the executive
power formed by this parliament is the power of the party over the people. Party power,
which is supposedly for the good of the whole people, is actually the arch-enemy of a
fraction of the people, namely, the opposition party or parties and their supporters. The
opposition is, therefore, not a popular check on the ruling party but, rather, is itself
opportunistically seeking to replace the ruling party. According to modern democracy, the
legitimate check on the ruling party is the parliament, the majority of whose members are
from that ruling party. That is to say, control is in the hands of the ruling party, and power
is in the hands of the controlling party. Thus the deception, falseness and invalidity of the
political theories dominant in the world today become obvious. From these emerge
contemporary conventional democracy.
"The party represents a segment of the people, but the sovereignty of the people is
indivisible."
"The party allegedly governs on behalf of the people, but in reality the true principle of
democracy is based upon the notion that there can be no representation in lieu of the
people."
The party system is the modern equivalent of the tribal or sectarian system. A society
governed by one party is similar to one which is governed by one tribe or one sect. The
party, as shown, represents the perception of a certain group of people, or the interests of
one group in society, or one belief, or one region. Such a party is a minority compared
with the whole people, just as the tribe and the sect are. The minority has narrow, common
sectarian interests and beliefs, from which a common outlook is formed. Only the bloodrelationship
distinguishes a tribe from a party, and, indeed, a tribe might also be the basis
for the foundation of a party. There is no difference between party struggle and tribal or
sectarian struggles for power. Just as tribal and sectarian rule is politically unacceptable
and inappropriate, likewise the rule under a party system. Both follow the same path and
lead to the same end. The negative and destructive effects of the tribal or sectarian
struggle on society is identical to the negative and destructive effects of the party
struggle.

CLASS
The political class system is the same as a party, tribal, or sectarian system since a class
dominates society in the same way that a party, tribe or sect would. Classes, like parties,
sects or tribes, are groups of people within society who share common interests. Common
interests arise from the existence of a group of people bound together by bloodrelationship,
belief, culture, locality or standard of living. Classes, parties, sects and tribes
emerge because blood-relationship, social rank, economic interest, standard of living,

belief, culture and locality create a common outlook to achieve a common end. Thus,
social structures, in the form of classes, parties, tribes or sects, emerge. These eventually
develop into political entities directed toward the realization of the goals of that group. In
all cases, the people are neither the class, the party, the tribe, nor the sect, for these are
no more than a segment of the people and constitute a minority. If a class, a party, a tribe,
or a sect dominates a society, then the dominant system becomes a dictatorship.
However, a class or a tribal coalition is preferable to a party coalition since societies
originally consisted of tribal communities. One seldom finds a group of people who do not
belong to a tribe, and all people belong to a specific class. But no party or parties embrace
all of the people, and therefore the party or party coalition represents a minority compared
to the masses outside their membership. Under genuine democracy, there can be no
justification for any one class to subdue other classes for its interests. Similarly, no party,
tribe or sect can crush others for their own interests.
To allow such actions abandons the logic of democracy and justifies resort to the use of
force. Such policies of suppression are dictatorial because they are not in the interest of
the whole society, which consists of more than one class, tribe or sect, or the members of
one party. There is no justification for such actions, though the dictatorial argument is that
society actually consists of numerous segments, one of which must undertake the
liquidation of others in order to remain solely in power. This exercise is not, accordingly,
in the interests of the whole society but, rather, in the interests of a specific class, tribe,
sect, party, or those who claim to speak for the society. Such an act is basically aimed at
the member of the society who does not belong to the party, class, tribe or sect which
carries out the liquidation.
A society torn apart by party feud is similar to one which is torn apart by tribal or sectarian
conflicts.
A party that is formed in the name of a class inevitably becomes a substitute for that class
and continues in the process of spontaneous transformation until it becomes hostile to
the class that it replaces.
Any class which inherits a society also inherits its characteristics. If the working class, for
example, subdues all other classes of a particular society, it then becomes its only heir
and forms its material and social base. The heir acquires the traits of those from whom it
inherits, though this may not be evident all at once. With the passage of time,
characteristics of the other eliminated classes will emerge within the ranks of the working
class itself. The members of the new society will assume the attitudes and perspectives
appropriate to their newly evolved characteristics. Thus, the working class will develop a
separate society possessing all of the contradictions of the old society. In the first stage,
the material standard and importance of the members become unequal. Thereafter, groups
emerge which automatically become classes that are the same as the classes that were
eliminated. Thus, the struggle for domination of the society begins again. Each group of
people, each faction, and each new class will all vie to become the instrument of
government.
Being social in nature, the material base of any society is changeable. The instrument of
government of this material base may be sustained for some time, but it will eventual
become obsolete as new material and social standards evolve to form a new material
base. Any society which undergoes a class conflict may at one time have been a one-class
society but, through evolution, inevitably becomes a multi-class society.
The class that expropriates and acquires the possession of others to maintain power for
itself will soon find that, through evolution, it will be itself subject to change as though it
were the society as a whole.
In summary, all attempts at unifying the material base of a society in order to solve the
problem of government, or at putting an end to the struggle in favour of a party, class, sect
or tribe have failed. All endeavours aimed at appeasing the masses through the election of
representatives or through parliaments have equally failed. To continue such practices
would be a waste of time and a mockery of the people.

Picha 7 za Treni yenye abiria 200 ilivyopata ajali mlimani USWIS

2
Treni iliyokuwa imebeba abiria zaidi ya 200 imepata ajali kwa kuteleza pembeni ya reli na kusababisha baadhi ya mabehewa kuwa nje ya reli ambapo abiria waliokuwemo ndani ya treni hiyo walilazimika kukimbilia upande wa pili wa treni ili kuepuka lisidondoke kwenye maporomoko.
1
Juhudi hizo zilisaidia na hakuna mtu aliyefariki kwenye hiyo ajali lakini watu 11 walipata majeraha na watano kati yao kupata majeraha makubwa kwenye hii ajali iliyotokea nchini Uswisi.

3
4
5
7
6

THE WAR OF WEAPONS VS PROPAGANDA

CARTOON OF THE DAY

Apartheid by Carlos Latuff

Msafara wa Urusi waelekea Kusini Ukraine


 14 Agosti, 2014

Msafara wa Urusi waelekea Kusini mwa Ukraine
Msafara wa lori zaidi ya 1000 unaobeba msaada kutoka Urusi kuelekea Mashariki mwa Ukraine sasa umebeta na kuelekea kwenye mpaka na Ukraine.
Msafara huo unaonekana kuelekea mji wa wa Rostov mji ulioko upande wa Urusi karibu na maeneo yanayodhibitiwa na waasi Mashariki mwa Ukraine.
Urusi imepinga vikali dhana kuwa msafara huo wa misaada unatumika na taifa hilo kutuma shehena ya zana za kivita kwa waasi wanaounga mkono kujitenga na Ukraine na kujiunga na Urusi.
Ukraine inasisitiza kuwa inataka wachunguzi wa kimataifa wapekue shehena hiyo kabla haijaruhusiwa kuingia ndani ya nchi hiyo.
Wakati huohuo UN imesema kuwa idadi ya vifo imeongezeka katika mapigano ya hivi punde mashariki mwa Ukraine.
Msafara wa Urusi waelekea Kusini mwa Ukraine
Kufikia sasa takwimu za Umoja wa Mataifa zinasema kuwa zaidi ya watu 2,086 ameuawa tangu mapigano hayo yaanze mwezi April.
Asilimia 50% ya vifo hivyo vimetokea katika majuma mawili yaliyopita.
Mwanahabari wa BBC anayeandamana msafara huo wa Urusi Steve Rosenberg, amesema kuwa zaidi ya lori 100 zimeondoka kuelekea kusini mwa Ukraine kabla ya alfajiri.
Haijabainika kufikia sasa iwapo magari zaidi yangeelekea mjini Kharkiv.

READ THIS SLOWLY:THE GREEN BOOK by MUAMMAR GADAF

PART ONE - 
THE INSTRUMENT OF GOVERNMENT.
The instrument of government is the prime political problem confronting human
communities (The problem of the instrument of government entails questions of the
following kind. What form should the exercise of authority assume? How ought societies
to organize themselves politically in the modern world?)
Even conflict within the family is often the result of the failure to resolve this problem of
authority. It has clearly become more serious with the emergence of modern societies.
People today face this persistent question in new and pressing ways. Communities are
exposed to the risks of uncertainty, and suffer the grave consequences of wrong answers.
Yet none has succeeded in answering it conclusively and democratically. THE GREEN
BOOK presents the ultimate solution to the problem of the proper instrument of
government.
All political systems in the world today are a product of the struggle for power between
alternative instruments of government. This struggle may be peaceful or armed, as is
evidenced among classes, sects, tribes, parties or individuals. The outcome is always the
victory of a particular governing structure - be it that of an individual, group, party or class
- and the defeat of the people; the defeat of genuine democracy.
Political struggle that results in the victory of a candidate with, for example, 51 per cent of
the votes leads to a dictatorial governing body in the guise of a false democracy, since 49
per cent of the electorate is ruled by an instrument of government they did not vote for,
but which has been imposed upon them. Such is dictatorship. Besides, this political
conflict may produce a governing body that represents only a minority. For when votes
are distributed among several candidates, though one polls more than any other, the sum
of the votes received by those who received fewer votes might well constitute an
overwhelming majority. However, the candidate with fewer votes wins and his success is
regarded as legitimate and democratic! In actual fact, dictatorship is established under the

cover of false democracy. This is the reality of the political systems prevailing in the world
today. They are dictatorial systems and it is evident that they falsify genuine democracy.

PARLIAMENTS
Parliaments are the backbone of that conventional democracy prevailing in the world
today. Parliament is a misrepresentation of the people, and parliamentary systems are a
false solution to the problem of democracy. A parliament is originally founded to represent
the people, but this in itself is undemocratic as democracy means the authority of the
people and not an authority acting on their behalf. The mere existence of a parliament
means the absence of the people. True democracy exists only through the direct
participation of the people, and not through the activity of their representatives.
Parliaments have been a legal barrier between the people and the exercise of authority,
excluding the masses from meaningful politics and monopolizing sovereignty in their
place. People are left with only a facade of democracy, manifested in long queues to cast
their election ballots.
To lay bare the character of parliaments, one has to examine their origin. They are either
elected from constituencies, a party, or a coalition of parties, or are appointed. But all of
these procedures are undemocratic, for dividing the population into constituencies means
that one member of parliament represents thousands, hundreds of thousands, or millions
of people, depending on the size of the population. It also means that a member keeps few
popular organizational links with the electors since he, like other members, is considered
a representative of the whole people. This is what the prevailing traditional democracy
requires. The masses are completely isolated from the representative and he, in turn, is
totally removed from them. Immediately after winning the electors' votes the
representative takes over the people's sovereignty and acts on their behalf. The prevailing
traditional democracy endows the member of parliament with a sacredness and immunity
which are denied to the rest of the people. Parliaments, therefore, have become a means
of plundering and usurping the authority of the people. It has thus become the right of the
people to struggle, through popular revolution, to destroy such instruments - the so-called
parliamentary assemblies which usurp democracy and sovereignty, and which stifle the
will of the people. The masses have the right to proclaim reverberantly the new principle:
no representation in lieu of the people.
If parliament is formed from one party as a result of its winning an election, it becomes a
parliament of the winning party and not of the people. It represents the party and not the
people, and the executive power of the parliament becomes that of the victorious party
and not of the people. The same is true of the parliament of proportional representation in
which each party holds a number of seats proportional to their success in the popular
vote. The members of the parliament represent their respective parties and not the people,
and the power established by such a coalition is the power of the combined parties and
not that of the people. Under such systems, the people are the victims whose votes are
vied for by exploitative competing factions who dupe the people into political circuses that
are outwardly noisy and frantic, but inwardly powerless and irrelevant. Alternatively, the
people are seduced into standing in long, apathetic, silent queues to cast their ballots in
the same way that they throw waste paper into dustbins. This is the traditional democracy
prevalent in the whole world, whether it is represented by a one-party, two-party,
multiparty or non-party system. Thus it is clear that representation is a fraud.
Moreover, since the system of elected parliaments is based on propaganda to win votes, it
is a demagogic system in the real sense of the word. Votes can be bought and falsified.
Poor people are unable to compete in the election campaigns, and the result is that only
the rich get elected. Assemblies constituted by appointment or hereditary succession do
not fall under any form of democracy.

Philosophers, thinkers, and writers advocated the theory of representative parliaments at
a time when peoples were unconsciously herded like sheep by kings, sultans and
conquerors. The ultimate aspiration of the people of those times was to have someone to
represent them before such rulers. When even this aspiration was rejected, people waged
bitter and protracted struggle to attain this goal.
After the successful establishment of the age of the republics and the beginning of the era
of the masses, it is unthinkable that democracy should mean the electing of only a few
representatives to act on behalf of great masses. This is an obsolete structure. Authority
must be in the hands of all of the people.
The most tyrannical dictatorships the world has known have existed under the aegis of
parliaments.

REKODI YA WIZI YAVUNJWA HUKO CHILE

Rekodi ya wizi yavunjwa huko Chile
 13 Agosti, 2014 
wezi hao wakiwa kwenye harakati za kupakua pesa.
Wanaume wanane waliokua wamevalia mavazi maalumu meupe na vikaragosi usoni wakiwa na mitutu mkononi walilizuia gari iliyokua ikisafirisha kiasi kikubwa cha pesa mapema wiki hii kikadiriwa kua ni dola milioni kumi za kimarekani sawa na paundi sita nukta mbili za Uingereza. wizi huo umeelezwa kua ni wa kihistoria katika uhai wa taifa la Chile.
Baada ya kulizuia gari hilo, majambazi hao walianza kupakua pesa kutoka katika gari hiyo ambalo ni mali ya jeshi la Marekani na kuziingiza katika gari ya mizigo eneo la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Santiago.
Mashuhuda wanasema kuwa pesa hizo zilikua njiani kupakiwa ndegeni na kupelekwa katika Bank za nchi hiyo na katika machimbo ya madini huko Copiapo,kaskazini mwa Chile.mkanda wa video uliopatikana na polisi dakika mbili baada ya tukio unaonesha genge hilo likiwasili ndani ya mavazi meupe na kujitia ni wamoja kati ya wafanyakazi katika gari hilo ingawa kamera za mahali hapo hazikunasa tukio hilo likitekelezwa.
Waziri wa mambo ya ndani wa Chile Mahmud Aleuy amesema kua polisi katika uwanja huo wa ndege walichanganyikiwa baada ya kuzidiwa maarifa na majambazi hao waliokuwa wamejipanga sawasawa kutekeleza tukio hilo na kusema kua polisi walipaswa kuchukua tahadhari ya hali ya juu wakati fedha hizo zikisafirishwa , na kwamba kazi ya usafirishaji wa vifurushi na mizigo zilikua ni za mamlaka ya anga na sio polisi.
Baada ya kufanikiwa kupora kiasi hicho cha pesa! Majambazi hayo yalijigawa katika makundi mawili tofauti na kuondoka kila moja na njia yake na kusambaza misumari nyuma yake na baadaye gari moja ilitelekezwa na kukutwa tupu jirani na eneo la tukio .
Tukio kama hilo liliwahi kutokea mnamo mwaka 2006,wakati majambazi walipopora dola milioni 1.6 zilizokua zikiingia kusafirishwa katika uwanja huo huo wa ndege, na majambazi wa tukio hilo walikamatwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha gerezani ,
Waziri wa ulinzi wa Chile Rodrigo Penailillo ameahidi kua jeshi litaisaidia polisi kuwapata majambazi waliohusika katika tukio hilo.

THE WINNER IS......EBOLA 7 vs GOVT 1

http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/12/140812083459_ebola_304x171_epa_nocredit.jpg

Maonyesho ya miale ya kipekee Canada

  Agosti, 2014 -
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

NINI KIFANYIKE KUZUIA EBOLA AFRIKA? EBOLA imetengenezwa ulaya au?


Hatua zaidi kuzuia kusambaa kwa Ebola

 14 Agosti, 2014....

Jitihada zaidi zafanywa kupambana na Ebola
Jitihada zinaendelea kuzuia kusambaa kwa maradhi ya Ebola, Afrika Magharibi.Tangu mwezi Machi kirusi hicho kimeua zaidi ya watu elfu moja, wengi wao kutoka Sierra Leone, Liberia na Guinea.
Nigeria nayo imetangaza kuwepo kwa mtu wa tatu aliyekuwa na ugonjwa huo. Wakati huohuo, Shirika la Afya Dunia limeielezea Kenya kuwa katika hatari kwani kuna uwezekano mkubwa wa kusambaa kwa virusi hivyo kutokana na kuwepo safari nyingi za ndege kutoka nchi hiyo kuelekea Afrika magharibi.

Huko nchini Nigeria ambako tayari Ebola imesababisha vifo vitatu, serikali imewataka watu wote kushirikiana na wataalamu wa afya hasa baada ya kuwapo kwa taarifa ya muuguzi aliyetoroka hosipitalini baada ya kuwekwa chini ya uangalizi wa wataalamu wa afya kufuatia kuhofiwa kuwa ameathirika na Ebola. Muuguzi huyo ameelekea nyumbani kwake huko mashariki mwa Nigeria hali inayowatia hatarini watu wengi.

Hivi sasa kiasi kidogo cha dawa za majaribio kimefika nchini Liberia kuwatibu madaktari wawili. Maabara iliyotoa dawa hiyo huko marekani inasema imeishiwa kabisa dawa hizo.
Siku moja tu baada ya shirika la afya duniani kutoa ruhusa ya kutumiwa dawa hizo Canada nayo imetangaza kuwa itatuma dozi 1000 za chanjo kwenda afrika magharibi ambako wahudumu wa afya ndio watakaopewa dawa hiyo ingawa haijawahi kufanyiwa majaribio.

Huko Sierra Leone daktari bingwa mwingine amefariki kwa ugonjwa wa ebola. Modupeh Cole amekuwa akifanya kazi mjini Freetown na kifo chake kinakuja baada ya mtaalamu pekee wa virusi nchini humo kufariki wiki mbili tu zilizopita.

Wednesday, 13 August 2014

Teh teh teh....UONGO UNA MWISHO?


UNAIKUMBUKA hiyo ?

Decades of war: ISRAEL AND ITS NEIGHBORS


Israel and its neighbors: Decades of war

updated 10:30 AM ET, Wed, August 13
By Ray Sanchez, CNN
The violence between Israel and Hamas is just the latest flare-up in a region of enduring and deadly conflicts. Wars have erupted several times since the founding of the modern state of Israel in the late 1940s. Here's a look at some of the most serious conflicts involving Israel and its neighbors since then -- conflicts that have spanned more than six decades and claimed countless lives.

Israel's War for Independence

Israeli infantry make a full assault on Egyptian forces during the Arab-Israeli War in 1948.
Keystone/Getty Images
When they fought: November 1947 to January 1949.
Who was fighting: Arab armies invaded what is now Israel.
What happened: In Israel's War for Independence, known as the Arab-Israeli War, Egypt gained control of Gaza.
What was the outcome: Israel fought with Egypt, Syria, Jordan, Iraq, Saudi Arabia and Lebanon, which invaded territory in the former Palestinian mandate after the announcement of an independent Israeli state on May 14, 1948. Armistice talks gave Israel 75% of what was Palestine, adding nearly one-third more land to the new state of Israel before the invasion. More than 600,000 Arabs fled Israel to become refugees in neighboring countries.

The Six-Day War

During the Six-Day War in 1967, Israeli soldiers celebrate after taking control of Egypt's Sinai Peninsula.
AP
When they fought: June 1967
Who was fighting: The Six-Day War lasted from June 5 to June 10, 1967, as Israel struck first at Egypt, Jordan and Syria.
What happened: Israel occupied the Sinai Peninsula, the Gaza Strip, the West Bank, East Jerusalem and the Golan Heights.
What was the outcome: Israel tripled its land holdings and gained control of Gaza.

Fighting between Israel and Egypt

Israeli troops fire mortar shells toward Egyptian military positions on the Suez front in 1970.
AFP/Getty Images
When they fought: July 1967 to August 1970
Who was fighting: On July 1, 1967, hostilities escalated near the Suez Canal between Israel and Egypt in what Israel called the War of Attrition.
What happened: Egypt sought to wear down Israel and eventually get Israeli troops to leave the Suez Canal.
What was the outcome: Israel and Egypt agreed to a three-month ceasefire, and negotiations under a United Nations mediator. The fighting stopped in early August 1970.

The Yom Kippur War

Israeli Defense Minister Moshe Dayan, left, meets with Gen. Ariel Sharon, second from left, during the Yom Kippur War in 1973. Sharon, who later became Israeli Prime Minister, said his greatest military success came during that war. He surrounded Egypt's Third Army and, defying orders, led 200 tanks and 5,000 men over the Suez Canal, a turning point.
Ministry of Defense/Getty Images
When they fought: October 1973
Who was fighting: Egypt and Syria launched the Yom Kippur War, which lasted from October 6, 1973, to October 22, 1973, with air strikes against Israeli targets in the Suez Canal and Golan Heights.
What happened: Egypt and Syria were seeking to retake territory lost in 1967. Other Arab countries -- including Saudi Arabia, Kuwait, Libya, Algeria, Tunisia, Sudan, Morocco and Jordan -- aided Egypt and Syria with troops, financial assistance and weapons. The Soviet Union airlifted supplies to the Arab combatants, while the United States provided aid to Israel.
What was the outcome: In 1973, the United Nations passed a resolution calling for a cease-fire and talks aimed at peace in the region.

Israel invades southern Lebanon

 
 
PLO terrorists hijacked a bus on Israel's Coastal Highway near Tel Aviv on March 11, 1978.
AP
When they fought: March 1978
Who was fighting: Israel invaded Lebanon.
What happened: A PLO attack on a bus in northern Israel prompted Israeli military forces to move into Lebanon to push the PLO militants back from the border. Israeli Defense Forces entered Lebanon and occupied part of the south.
What was the outcome: After protest from the United Nations, Israel withdrew but created a "security zone" in the south of the country, administered by the Army of South Lebanon. The U.N. Security Council adopted Resolution 425 on March 19, 1978, days after Israel first invaded its northern neighbor in response to cross-border attacks by Palestinian militants.

Israel invades Lebanon

Rescue workers walk among corpses at the Sabra refugee camp in West Beirut, Lebanon, on September 20, 1982, days after Lebanese Christian militias massacred nearly 800 Palestinians.
Paola Crociani/AP
When they fought: 1981-1982
Who was fighting: Israel attacked Lebanon.
What happened: On July 17, 1981, Israel bombed PLO headquarter.

SABABU ZA KIJINGA ZA DOGO JANJA kuacha SHULE

Sababu Zilizomfanya Dogo Janja Aache Shule, Hili Atakuja Kulijutia Baadae

Posted on Wednesday, August 13, 2014 | 7:22 PM

Rapper kutoka Arusha, Dogo Janja ameamua kuacha shule ili kusomea masomo ya muziki. Akiongea na 255 ya kipindi cha XXL cha Clouds FM, Janjaro amedai kuwa usumbufualiokuwa akiupata shuleni ndio sababu kubwa iliyomfanya aache shule.

“Shule ambayo mimi nimesoma nilikuwa napata matatizo kwasababu kitu kidogo ambacho mnaweza mkafanya wote lakini wewe ukaonekana chanzo. ‘Msanii mhuni, huyu hivi,” alisema rapper huyo.

“Sometimes unaweza ukawa unasoma watu wengi wako dirishani wanapita wanakuangalia. Au unaweza ukakosea.. yaani wanakuwa wewe ni mtu ambaye upo sahihi all the time. Kwa mfano labda unajua zile za kushtukizwa ‘fulani jibu swali’ kila saa unaulizwa wewe,” aliongeza.

“Kwahiyo unakuwa hakuna pale Uabdul, unakuwa unaweka Ujanjaro Udogojanja. Kwasababu unajua ile kushtukizwa kila saa unakuwa unahisi kama mwalimu anakuandama sana. Au kwenye mtihani, mnaweza mkawa mnafanya wote mtihani lakini mwalimu anakuja kukusimamia wewe, anakukazia kinoma.”

Nini mtazamo wako kuhusiana na sababu hiyo ya Dogo Janja iliyomfanya aache shule?

UKIONA INAFAA TUMIA na wewe NDO DAWA YA MCHEPUKO

Mwanaume Mmoja Ameua Watu Sita Baada ya Mkewe Kuchepuka na Wanaume Hao Kingono

  Wednesday, August 13, 2014

KWANIN UNADHANI TUNDU LISSU anafaa kuwa RAIS 2015?

Tundu Lissu: Nitawania Urais Kupitia CHADEMA 2015

Written By Udaku Specially on Wednesday, August 13, 2014 | 12:41 P

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.

Ametoa kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), alipojitokeza hadharani akisema kwamba hatawania tena ubunge katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na badala yake atajitosa kwenye urais.

Hata hivyo, kauli hiyo ya Zitto ilisababisha mvutano mkubwa kati yake na viongozi wenzake ndani ya chama hicho, huku mmoja wa waasisi wake, Edwin Mtei, akipinga uamuzi wa mwanasiasa huyo na akidai hakuutoa wakati mwafaka.

Mtei alisema hatua ya Zitto kutangaza kutaka kuwania urais wa mwaka 2015 haikuwa na shida kwa sababu alionyesha hisia zake lakini alikuwa ikitengeneza mzozo ndani ya chama.

Mwanasiasa huyo alimshauri Zitto kuhakikisha anakiunganisha chama na si kukigawa na kukivuruga.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA mwishoni mwa wiki iliyopita, Lissu alisema ana uzoefu wa uongozi hivyo yuko tayari kuwania urais iwapo vikao vya chama chake vitaridhia.

Tuesday, 12 August 2014

NI KWELI DIAMOND PLATNUMZ anatoka na MENINAH?


Umeisikia hii kuhusu Diamond Platnumz na Meninah?

meninah
Stori ambayo Soudy Brown amei amplify kupitia You heard ya leo Aug 12 ni kuhusu uhusiano wa Diamond Platnumz na Meninah ambye inasemekana wanatoka,Soudy Brown kaongea na Meninah.


CARTOON OF LOVE:It's true that....anaebisha,piga simu polisi.


THAT IS HOW FIRST DATE IT IS......hOW YOU FEEL RIGHT NOW?






KOMANDO JIDE vs KAPTEN G......Mambo ya NDOA hayo,SHIII!!!!!!

Tetesi: Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash Yavunjika

Written By Udaku Specially on Tuesday, August 12, 2014

 
Ndoa ya mwanuziki Jay dee na mtangazaji 
mashuhuri wa radio Gardner G. Habash inasemekana imevunjika huku Gardner akihama Kimara alikokua akiishi na mkewe na kuhamia kwa moja wa ndugu zake wa karibu sana.

chanzo cha kuvunjika ndoa hiyo bado hakijajulikana moja moja kwa moja ila wawili hao wamekuwa katika migogoro kwa muda.. na si mara ya kwanza kutengana ila this time hali si shwari. yazidi kusemekana kaka Gardner kazidi michepuko amekua haibi tena anafanya bayana mpaka mwenye mali anajua anavyoibiwa.

kudhihirisha hayo katika ukurasa wake wa IG dada jide ameandika "Walking Away From Troubles" ambapo umbepuzi yakinifu waonesha
mambo si sawa hata kidogo.

Gardner kabla ya kumuoa Jide alikua tayari na mke halali wa ndoa na mtoto mmoja.

BIASHARA INAYOLIPA TANZANIA NI SIASA...Hutaki kajinyonge na buibui.

Bunge kutumia zaidi ya Tsh milioni 142 kukodi vipaza sauti.

mic
Wakati kukiwa na malalamiko kwamba Bunge la maalumu la Katiba linagharimu fedha nyingi za walipakodi, uongozi wa taasisi hiyo umetumia Sh142.56 milioni kukodi vipaza sauti kutoka kituo cha mikutano cha kimataifa Arusha (AICC).
Katibu wa Bunge maalumu Yahya Khamis Hamad alithibitisha kukodiwa kwa vipaza sauti hivyo kwa ajili kamati zote 12 na kwamba kila gharama ya chumba kimoja kwa siku ni Dola 450 za Marekani (Dola moja ni wastani wa Sh1,650).
Kwa maana hiyo Bunge hilo linatumia Dola 5,400 sawa na Sh8.91 milioni kwa siku kugharimia vipaza sauti katika vyumba 12 vinavyotumiwa na kamati hizo na kwa siku 16  ambazo kamati zitakutana, jumla gharama hizo zitafikia Sh142.56.
“Vifaa vya sauti tulivyokuwa navyo vinalalamikiwa vilikuwa siyo standard (viwango) hasa vya mazungumzo, tumekodi kutoka ukumbi wa mikutano wa AICC na tumekuwa nao usiku mzima kuvifunga,” alisema katibu wa bunge.
Source : Mwananchi