Monday, 29 September 2014

FURSA::MAELFU YA WAKAZI WA MBEYA WALIVOJITOKEZA SEMINA YA FURSA UKUMBI WA MKAPA


 

Semina ya Fursa pia inaendelea katika ukumbi wa Mkapa likiendeshwa na Wataalamu waliobobea akiwemo Mkurugenzi wa Clouds fm Watu wote mnakaribishwa hakuna kiingilio.















Picha na Mbeya yetu

AFYA: Sumu huathiri waume, watoto wa wanawake wanaotumia mikorogo



“Tunafanya kampeni ya kupambana na vipodozi vyenye sumu kwa sababu tatizo ni kubwa nchini.“Hadi sasa asilimia 52 ya Watanzania hutumia mkorogo. matokeo yake wengi wameathirika na wanashindwa kuacha.” Euphrasia Shayo 
Na Elias Msuya, Mwananchi0
Share

Nuru Masoud, mkazi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam, amekuwa akijishughulisha na biashara za vipodozi vya asili, maarufu kama mkorogo.
Hata hivyo, biashara hiyo aliisitisha mwaka 2013 baada ya kupata madhara makubwa ya ngozi ambayo yaliambukiza pia familia yake.
“Nilianza kuwashwa ngozi mfululizo, nikadhani nimeathirika na Ukimwi,” anasema akikumbuka jinsi ugonjwa huo ulivyomtesa.
 “Niliamua kwenda Hospitali ya Muhimbili kwa daktari wa ngozi ambaye alichukua kipande cha ngozi yangu na kwenda kuipima na kubaini tatizo ni mkorogo.”
Nuru anasema alipewa dawa aina ya scaboma ambayo ilimsaidia na inaendelea kumsaidia hadi sasa. Kwa sasa ameachana na biashara hiyo na badala yake anatoa ushuhuda wa madhara ya dawa hizi.
Akizungumzia biashara hiyo, Nuru anasema licha ya kusitisha biashara iliyokuwa ikimpa fedha za kujikimu kimaisha, sasa amekuwa balozi wa kueleza madhara ya mkorogo kwa jamii.
Alianza biashara hiyo mwaka 1998 baada ya kufanya majaribio ya kupaka losheni hizo na kuona zinampendeza na watu wanazipenda na hivyo akawa anachanganya na kuuza.
“Kwa kipimo kimoja nilikuwa nauza kati ya Sh25,000 hadi 30,000 na ningeweza kupata hadi Sh400,000 kwa mwezi,” anasema.
Hata hivyo, mwaka 2013, mambo yalianza kwenda vibaya baada ya kujikuta akiwashwa ngozi na kuharibika ikawa kavu, yenye mikunjo na kubadilika rangi.
Licha ya Serikali kupambana na utengenezaji na matumizi ya vipodozi vyenye sumu, imeelezwa kuwa zaidi ya nusu ya Watanzania hutumia vipodozi hivyo kwa lengo la kuongeza urembo.
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Evirocare ya Dar es Salaam mwaka 2013 umeonyesha bado tatizo hilo ni kubwa.
Utafiti huo ulifanyika kwa kuhusisha mkoa mmoja katika kanda sita nchini. Mikoa hiyo ni Dar es Salaam ukiwakilisha Kanda ya Mashariki, Mbeya (Kanda ya Nyanda za Juu Kusini), Tanga (Kanda ya Kaskazini) na Dodoma (Kanda ya Kati).

AJALI YATOKEA BARABARA YA MOSHI - ARUSHA LEO

Polisi wa usalama barabarani akiliangalia kwa karibu moja ya gari lililoharibika vibaya katika ajali iliyotokea mchan huu katika eneo la Sadal njia ya Moashi - Arusha.Gari la kubebea wagonjwa 'Ambulance' kutoka KCMC likiwa limeharibiwa vibaya baada ya ajali hiyo.Raia wakishudia ajali hiyo

Saturday, 27 September 2014

MAAJABU::Yajue maisha ya Drogba wa pori la Selous yanavyompatia kipato


KATIKA kipindi cha miaka minne iliyopita hadi kufikia leo, watalii wanaoenda kutembelea Pori la Akiba la Selous lililopo katika Kijiji cha Mloka kilichopo Kata ya Mwaseni wilayani Rufiji mkoani Pwani, wanapata fursa ya kufurahia utalii wa aina yake pindi wanapokutana na mmoja wa wanakijiji wa eneo hilo anayejulikana kwa jina la Mwananyika lakini kwa sasa amepewa jina la Drogba kutokana na umaarufu aliojipatia miaka ya hivi karibuni. Inaelezwa kuwa amefanana na Drogba yule mwanasoka anayechezea timu ya Chelsea kwa sasa.

Imeelezwa kuwa, Kijiji hiki ni kijiji cha mwisho kabisa kabla ya kufika kwenye geti la Mtemere, moja ya mageti ya kuingilia kwenye pori hili. Watalii kutoka ndani na nje ya nchi (hususani raia wa kigeni) wanapofika katika kijiji hiki hukutana na Drogba ambaye inaelezwa kuwa amepata umaarufu mkubwa kuanzia mwaka 2011 hadi sasa.
Drogba 2
Wenyeji wa kijiji hiki wanasema Drogba ni mmoja wa wajasiriamali aliyewekeza nguvu na uelewa wake wa mambo ya wanyama pori na mazingira yao kwa kutoe elimu kwa wageni wanaungana naye katika kuelewa tabia za wanyama. Yeye haingii kwenye hifadhi bali anazunguka nje ya pori hili kutokana na maeneo mengi kupitika kirahisi na wanyama kupata nafasi ya kuzunguka katika moja ya vijiji vilivyopo kijijini humo na maeneo ya jirani.
Yeye safari zake hujulikana kama bush walk na wageni wake hupata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu maisha ya mwanakijiji na wanyamapori. Vitu kama dawa mbalimbali za asili, hadithi za kale huwa ni sehemu ya vitu wanavyojifunza wageni wa ‘Drogba’.
Shughuli za Mwananyika au Drogba
Watumiaji wa njia inayoelekea katika geti hilo wanaeleza kuwa moja ya shughuli anazofanya Drogba ni kuelekeza wageni kwenye matembezi wanaoingia kwenye pori hilo na kujipatia kipato cha kuendeshea maisha yake pamoja na familia yake (anatumia lugha tatu hadi sasa, Kiswahili, Kiingereza na Kifaransa).
Mwenyewe hujigamba kwa kuziita true Africa walking safari na anapokuwa kazini huwa anavaa mavazi ya asili kabisa (baadae huvaa mavazi ya kawaida) ambayo huyatengeneza kwa magome ya miti huku akiwa amebeba ngao, mkuki na kikapu chake cha kubebea mitishamba na vitu vingine anavyoweza kuvipata akiwa katika eneo lake la kazi pia anazunguka kwenye barabara zilizopo kando kando na pori hilo na wakati mwingine hulazimika kuingia kwenye baadhi ya mapori na kuzunguka na wageni wake nje ya hifadhi japo wapo wanyama (wakali na wapole) wapo katika maeneo anayotembelea.
Kwa ajili ya tahadhari na usalama anapofanya safari za miguu na wageni wake siku zote huwa anaambatana na Askari wa hoteli (campsite) waliofikia wageni wake, askari anakuwa na bunduki kwa ajili ya tahadhari kwa chochote kinachoweza kutokea.
Mara zote mgeni anayefanya utalii katika pori hili, husindikizwa na askari wa Maliasili na wakati huo Drogba yeye anaendelea kuzunguka nje ya hifadhi bila kuwa na woga.
Safari zake huwa na vituo vingi ndani yake na kwenye kila kituo kuna jambo ambalo huona ni vyema wageni wake wanastahili kulifahamu na pia endapo mnaweza kukutana na wanyama anatumia nafasi hiyo kuwafundisha wageni mazingira ya wanyama.
Miongoni mwa mambo wageni wanayofaidi wanapokuwa na Drogba ni kufundishwa namna ya kutambua nyayo za wanyama mbalimbali ambazo huwa wanakutana nazo wakiwa safarini.
Drogba
Historia yake kwa ufupi
Hadi sasa ukifika kijiji hicho kama mtalii ukasikia watu wanamzungumzia Drogba basi kuna uwezekano mkubwa wakawa wanamzungumzia Drogba wanayemjua wao anayetembeza wageni wanaotoka ndani nan je ya nchi. na sio yule ambaye watu mbalimbali wamemzoea kumsikia (anayechezea timu ya Chelsea).
Drogba Selous
Kwa hivi sasa watu wengi wanaeleza kuwa hata jina lake kamili hawalijui kutokana na umaarufu aliojipatia (ni mmoja kati ya watu maarufu sana kijiji hapo) na hususani kwa wadau wa utalii ambao hupeleka wageni kwenye pori hilo kupitia lango la Mtemere linalopakana na kijiji cha Mloka ambapo wanyama hutoka nje na kuzunguka vijijini na maeneo ya karibu.
Hali hii inawafanya wageni kufanya kutembelea maeneo ya nje ya pori ambazo huwaleta karibu na wanyama wa porini, baadhi ya wanyama wanaopatikana nje ya pori hilo ni Swala, Nyati,Tembo, Twiga na Viboko, na wanyama wengineo ambao huonekana katika maeneo ambayo Drogba hupendelea kuzunguka akiwa na wageni wake.
Ni nadra sana kuweza kumsogelea Twiga mpaka muwe na usawa wa karibu mara nyingi Drogba yeye anamkaribia bila Twiga kutimua mbio. Inaelezwa kuwa mara chache Twiga huvumilia kwa muda kidogo na baadae kuanza kulala akiwa na Drogba.
Unapoanza kukiacha kijiji cha Mloka na kisha kuelekea lilipo geti la kuingilia Selous (Mtemere) utaanza kukutana na vibao vikikuonyesha zilizopo kambi kadhaa. Kambi nyingi za Mloka zimejengwa pembezoni mwa mto Rufiji ukiwa unaelekea Mtemere nyingi zipo upande wa Kushoto wa barabara.

MAAJABU::Yajue maisha ya Drogba wa pori la Selous yanavyompatia kipato


KATIKA kipindi cha miaka minne iliyopita hadi kufikia leo, watalii wanaoenda kutembelea Pori la Akiba la Selous lililopo katika Kijiji cha Mloka kilichopo Kata ya Mwaseni wilayani Rufiji mkoani Pwani, wanapata fursa ya kufurahia utalii wa aina yake pindi wanapokutana na mmoja wa wanakijiji wa eneo hilo anayejulikana kwa jina la Mwananyika lakini kwa sasa amepewa jina la Drogba kutokana na umaarufu aliojipatia miaka ya hivi karibuni. Inaelezwa kuwa amefanana na Drogba yule mwanasoka anayechezea timu ya Chelsea kwa sasa.

Imeelezwa kuwa, Kijiji hiki ni kijiji cha mwisho kabisa kabla ya kufika kwenye geti la Mtemere, moja ya mageti ya kuingilia kwenye pori hili. Watalii kutoka ndani na nje ya nchi (hususani raia wa kigeni) wanapofika katika kijiji hiki hukutana na Drogba ambaye inaelezwa kuwa amepata umaarufu mkubwa kuanzia mwaka 2011 hadi sasa.
Drogba 2
Wenyeji wa kijiji hiki wanasema Drogba ni mmoja wa wajasiriamali aliyewekeza nguvu na uelewa wake wa mambo ya wanyama pori na mazingira yao kwa kutoe elimu kwa wageni wanaungana naye katika kuelewa tabia za wanyama. Yeye haingii kwenye hifadhi bali anazunguka nje ya pori hili kutokana na maeneo mengi kupitika kirahisi na wanyama kupata nafasi ya kuzunguka katika moja ya vijiji vilivyopo kijijini humo na maeneo ya jirani.
Yeye safari zake hujulikana kama bush walk na wageni wake hupata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu maisha ya mwanakijiji na wanyamapori. Vitu kama dawa mbalimbali za asili, hadithi za kale huwa ni sehemu ya vitu wanavyojifunza wageni wa ‘Drogba’.
Shughuli za Mwananyika au Drogba
Watumiaji wa njia inayoelekea katika geti hilo wanaeleza kuwa moja ya shughuli anazofanya Drogba ni kuelekeza wageni kwenye matembezi wanaoingia kwenye pori hilo na kujipatia kipato cha kuendeshea maisha yake pamoja na familia yake (anatumia lugha tatu hadi sasa, Kiswahili, Kiingereza na Kifaransa).
Mwenyewe hujigamba kwa kuziita true Africa walking safari na anapokuwa kazini huwa anavaa mavazi ya asili kabisa (baadae huvaa mavazi ya kawaida) ambayo huyatengeneza kwa magome ya miti huku akiwa amebeba ngao, mkuki na kikapu chake cha kubebea mitishamba na vitu vingine anavyoweza kuvipata akiwa katika eneo lake la kazi pia anazunguka kwenye barabara zilizopo kando kando na pori hilo na wakati mwingine hulazimika kuingia kwenye baadhi ya mapori na kuzunguka na wageni wake nje ya hifadhi japo wapo wanyama (wakali na wapole) wapo katika maeneo anayotembelea.
Kwa ajili ya tahadhari na usalama anapofanya safari za miguu na wageni wake siku zote huwa anaambatana na Askari wa hoteli (campsite) waliofikia wageni wake, askari anakuwa na bunduki kwa ajili ya tahadhari kwa chochote kinachoweza kutokea.
Mara zote mgeni anayefanya utalii katika pori hili, husindikizwa na askari wa Maliasili na wakati huo Drogba yeye anaendelea kuzunguka nje ya hifadhi bila kuwa na woga.
Safari zake huwa na vituo vingi ndani yake na kwenye kila kituo kuna jambo ambalo huona ni vyema wageni wake wanastahili kulifahamu na pia endapo mnaweza kukutana na wanyama anatumia nafasi hiyo kuwafundisha wageni mazingira ya wanyama.
Miongoni mwa mambo wageni wanayofaidi wanapokuwa na Drogba ni kufundishwa namna ya kutambua nyayo za wanyama mbalimbali ambazo huwa wanakutana nazo wakiwa safarini.
Drogba
Historia yake kwa ufupi
Hadi sasa ukifika kijiji hicho kama mtalii ukasikia watu wanamzungumzia Drogba basi kuna uwezekano mkubwa wakawa wanamzungumzia Drogba wanayemjua wao anayetembeza wageni wanaotoka ndani nan je ya nchi. na sio yule ambaye watu mbalimbali wamemzoea kumsikia (anayechezea timu ya Chelsea).
Drogba Selous
Kwa hivi sasa watu wengi wanaeleza kuwa hata jina lake kamili hawalijui kutokana na umaarufu aliojipatia (ni mmoja kati ya watu maarufu sana kijiji hapo) na hususani kwa wadau wa utalii ambao hupeleka wageni kwenye pori hilo kupitia lango la Mtemere linalopakana na kijiji cha Mloka ambapo wanyama hutoka nje na kuzunguka vijijini na maeneo ya karibu.
Hali hii inawafanya wageni kufanya kutembelea maeneo ya nje ya pori ambazo huwaleta karibu na wanyama wa porini, baadhi ya wanyama wanaopatikana nje ya pori hilo ni Swala, Nyati,Tembo, Twiga na Viboko, na wanyama wengineo ambao huonekana katika maeneo ambayo Drogba hupendelea kuzunguka akiwa na wageni wake.
Ni nadra sana kuweza kumsogelea Twiga mpaka muwe na usawa wa karibu mara nyingi Drogba yeye anamkaribia bila Twiga kutimua mbio. Inaelezwa kuwa mara chache Twiga huvumilia kwa muda kidogo na baadae kuanza kulala akiwa na Drogba.
Unapoanza kukiacha kijiji cha Mloka na kisha kuelekea lilipo geti la kuingilia Selous (Mtemere) utaanza kukutana na vibao vikikuonyesha zilizopo kambi kadhaa. Kambi nyingi za Mloka zimejengwa pembezoni mwa mto Rufiji ukiwa unaelekea Mtemere nyingi zipo upande wa Kushoto wa barabara.

MAAJABU::Yajue maisha ya Drogba wa pori la Selous yanavyompatia kipato


KATIKA kipindi cha miaka minne iliyopita hadi kufikia leo, watalii wanaoenda kutembelea Pori la Akiba la Selous lililopo katika Kijiji cha Mloka kilichopo Kata ya Mwaseni wilayani Rufiji mkoani Pwani, wanapata fursa ya kufurahia utalii wa aina yake pindi wanapokutana na mmoja wa wanakijiji wa eneo hilo anayejulikana kwa jina la Mwananyika lakini kwa sasa amepewa jina la Drogba kutokana na umaarufu aliojipatia miaka ya hivi karibuni. Inaelezwa kuwa amefanana na Drogba yule mwanasoka anayechezea timu ya Chelsea kwa sasa.

Imeelezwa kuwa, Kijiji hiki ni kijiji cha mwisho kabisa kabla ya kufika kwenye geti la Mtemere, moja ya mageti ya kuingilia kwenye pori hili. Watalii kutoka ndani na nje ya nchi (hususani raia wa kigeni) wanapofika katika kijiji hiki hukutana na Drogba ambaye inaelezwa kuwa amepata umaarufu mkubwa kuanzia mwaka 2011 hadi sasa.
Drogba 2
Wenyeji wa kijiji hiki wanasema Drogba ni mmoja wa wajasiriamali aliyewekeza nguvu na uelewa wake wa mambo ya wanyama pori na mazingira yao kwa kutoe elimu kwa wageni wanaungana naye katika kuelewa tabia za wanyama. Yeye haingii kwenye hifadhi bali anazunguka nje ya pori hili kutokana na maeneo mengi kupitika kirahisi na wanyama kupata nafasi ya kuzunguka katika moja ya vijiji vilivyopo kijijini humo na maeneo ya jirani.
Yeye safari zake hujulikana kama bush walk na wageni wake hupata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu maisha ya mwanakijiji na wanyamapori. Vitu kama dawa mbalimbali za asili, hadithi za kale huwa ni sehemu ya vitu wanavyojifunza wageni wa ‘Drogba’.
Shughuli za Mwananyika au Drogba
Watumiaji wa njia inayoelekea katika geti hilo wanaeleza kuwa moja ya shughuli anazofanya Drogba ni kuelekeza wageni kwenye matembezi wanaoingia kwenye pori hilo na kujipatia kipato cha kuendeshea maisha yake pamoja na familia yake (anatumia lugha tatu hadi sasa, Kiswahili, Kiingereza na Kifaransa).
Mwenyewe hujigamba kwa kuziita true Africa walking safari na anapokuwa kazini huwa anavaa mavazi ya asili kabisa (baadae huvaa mavazi ya kawaida) ambayo huyatengeneza kwa magome ya miti huku akiwa amebeba ngao, mkuki na kikapu chake cha kubebea mitishamba na vitu vingine anavyoweza kuvipata akiwa katika eneo lake la kazi pia anazunguka kwenye barabara zilizopo kando kando na pori hilo na wakati mwingine hulazimika kuingia kwenye baadhi ya mapori na kuzunguka na wageni wake nje ya hifadhi japo wapo wanyama (wakali na wapole) wapo katika maeneo anayotembelea.
Kwa ajili ya tahadhari na usalama anapofanya safari za miguu na wageni wake siku zote huwa anaambatana na Askari wa hoteli (campsite) waliofikia wageni wake, askari anakuwa na bunduki kwa ajili ya tahadhari kwa chochote kinachoweza kutokea.
Mara zote mgeni anayefanya utalii katika pori hili, husindikizwa na askari wa Maliasili na wakati huo Drogba yeye anaendelea kuzunguka nje ya hifadhi bila kuwa na woga.
Safari zake huwa na vituo vingi ndani yake na kwenye kila kituo kuna jambo ambalo huona ni vyema wageni wake wanastahili kulifahamu na pia endapo mnaweza kukutana na wanyama anatumia nafasi hiyo kuwafundisha wageni mazingira ya wanyama.
Miongoni mwa mambo wageni wanayofaidi wanapokuwa na Drogba ni kufundishwa namna ya kutambua nyayo za wanyama mbalimbali ambazo huwa wanakutana nazo wakiwa safarini.
Drogba
Historia yake kwa ufupi
Hadi sasa ukifika kijiji hicho kama mtalii ukasikia watu wanamzungumzia Drogba basi kuna uwezekano mkubwa wakawa wanamzungumzia Drogba wanayemjua wao anayetembeza wageni wanaotoka ndani nan je ya nchi. na sio yule ambaye watu mbalimbali wamemzoea kumsikia (anayechezea timu ya Chelsea).
Drogba Selous
Kwa hivi sasa watu wengi wanaeleza kuwa hata jina lake kamili hawalijui kutokana na umaarufu aliojipatia (ni mmoja kati ya watu maarufu sana kijiji hapo) na hususani kwa wadau wa utalii ambao hupeleka wageni kwenye pori hilo kupitia lango la Mtemere linalopakana na kijiji cha Mloka ambapo wanyama hutoka nje na kuzunguka vijijini na maeneo ya karibu.
Hali hii inawafanya wageni kufanya kutembelea maeneo ya nje ya pori ambazo huwaleta karibu na wanyama wa porini, baadhi ya wanyama wanaopatikana nje ya pori hilo ni Swala, Nyati,Tembo, Twiga na Viboko, na wanyama wengineo ambao huonekana katika maeneo ambayo Drogba hupendelea kuzunguka akiwa na wageni wake.
Ni nadra sana kuweza kumsogelea Twiga mpaka muwe na usawa wa karibu mara nyingi Drogba yeye anamkaribia bila Twiga kutimua mbio. Inaelezwa kuwa mara chache Twiga huvumilia kwa muda kidogo na baadae kuanza kulala akiwa na Drogba.
Unapoanza kukiacha kijiji cha Mloka na kisha kuelekea lilipo geti la kuingilia Selous (Mtemere) utaanza kukutana na vibao vikikuonyesha zilizopo kambi kadhaa. Kambi nyingi za Mloka zimejengwa pembezoni mwa mto Rufiji ukiwa unaelekea Mtemere nyingi zipo upande wa Kushoto wa barabara.

MAAJABU::Yajue maisha ya Drogba wa pori la Selous yanavyompatia kipato


KATIKA kipindi cha miaka minne iliyopita hadi kufikia leo, watalii wanaoenda kutembelea Pori la Akiba la Selous lililopo katika Kijiji cha Mloka kilichopo Kata ya Mwaseni wilayani Rufiji mkoani Pwani, wanapata fursa ya kufurahia utalii wa aina yake pindi wanapokutana na mmoja wa wanakijiji wa eneo hilo anayejulikana kwa jina la Mwananyika lakini kwa sasa amepewa jina la Drogba kutokana na umaarufu aliojipatia miaka ya hivi karibuni. Inaelezwa kuwa amefanana na Drogba yule mwanasoka anayechezea timu ya Chelsea kwa sasa.

Imeelezwa kuwa, Kijiji hiki ni kijiji cha mwisho kabisa kabla ya kufika kwenye geti la Mtemere, moja ya mageti ya kuingilia kwenye pori hili. Watalii kutoka ndani na nje ya nchi (hususani raia wa kigeni) wanapofika katika kijiji hiki hukutana na Drogba ambaye inaelezwa kuwa amepata umaarufu mkubwa kuanzia mwaka 2011 hadi sasa.
Drogba 2
Wenyeji wa kijiji hiki wanasema Drogba ni mmoja wa wajasiriamali aliyewekeza nguvu na uelewa wake wa mambo ya wanyama pori na mazingira yao kwa kutoe elimu kwa wageni wanaungana naye katika kuelewa tabia za wanyama. Yeye haingii kwenye hifadhi bali anazunguka nje ya pori hili kutokana na maeneo mengi kupitika kirahisi na wanyama kupata nafasi ya kuzunguka katika moja ya vijiji vilivyopo kijijini humo na maeneo ya jirani.
Yeye safari zake hujulikana kama bush walk na wageni wake hupata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu maisha ya mwanakijiji na wanyamapori. Vitu kama dawa mbalimbali za asili, hadithi za kale huwa ni sehemu ya vitu wanavyojifunza wageni wa ‘Drogba’.
Shughuli za Mwananyika au Drogba
Watumiaji wa njia inayoelekea katika geti hilo wanaeleza kuwa moja ya shughuli anazofanya Drogba ni kuelekeza wageni kwenye matembezi wanaoingia kwenye pori hilo na kujipatia kipato cha kuendeshea maisha yake pamoja na familia yake (anatumia lugha tatu hadi sasa, Kiswahili, Kiingereza na Kifaransa).
Mwenyewe hujigamba kwa kuziita true Africa walking safari na anapokuwa kazini huwa anavaa mavazi ya asili kabisa (baadae huvaa mavazi ya kawaida) ambayo huyatengeneza kwa magome ya miti huku akiwa amebeba ngao, mkuki na kikapu chake cha kubebea mitishamba na vitu vingine anavyoweza kuvipata akiwa katika eneo lake la kazi pia anazunguka kwenye barabara zilizopo kando kando na pori hilo na wakati mwingine hulazimika kuingia kwenye baadhi ya mapori na kuzunguka na wageni wake nje ya hifadhi japo wapo wanyama (wakali na wapole) wapo katika maeneo anayotembelea.
Kwa ajili ya tahadhari na usalama anapofanya safari za miguu na wageni wake siku zote huwa anaambatana na Askari wa hoteli (campsite) waliofikia wageni wake, askari anakuwa na bunduki kwa ajili ya tahadhari kwa chochote kinachoweza kutokea.
Mara zote mgeni anayefanya utalii katika pori hili, husindikizwa na askari wa Maliasili na wakati huo Drogba yeye anaendelea kuzunguka nje ya hifadhi bila kuwa na woga.
Safari zake huwa na vituo vingi ndani yake na kwenye kila kituo kuna jambo ambalo huona ni vyema wageni wake wanastahili kulifahamu na pia endapo mnaweza kukutana na wanyama anatumia nafasi hiyo kuwafundisha wageni mazingira ya wanyama.
Miongoni mwa mambo wageni wanayofaidi wanapokuwa na Drogba ni kufundishwa namna ya kutambua nyayo za wanyama mbalimbali ambazo huwa wanakutana nazo wakiwa safarini.
Drogba
Historia yake kwa ufupi
Hadi sasa ukifika kijiji hicho kama mtalii ukasikia watu wanamzungumzia Drogba basi kuna uwezekano mkubwa wakawa wanamzungumzia Drogba wanayemjua wao anayetembeza wageni wanaotoka ndani nan je ya nchi. na sio yule ambaye watu mbalimbali wamemzoea kumsikia (anayechezea timu ya Chelsea).
Drogba Selous
Kwa hivi sasa watu wengi wanaeleza kuwa hata jina lake kamili hawalijui kutokana na umaarufu aliojipatia (ni mmoja kati ya watu maarufu sana kijiji hapo) na hususani kwa wadau wa utalii ambao hupeleka wageni kwenye pori hilo kupitia lango la Mtemere linalopakana na kijiji cha Mloka ambapo wanyama hutoka nje na kuzunguka vijijini na maeneo ya karibu.
Hali hii inawafanya wageni kufanya kutembelea maeneo ya nje ya pori ambazo huwaleta karibu na wanyama wa porini, baadhi ya wanyama wanaopatikana nje ya pori hilo ni Swala, Nyati,Tembo, Twiga na Viboko, na wanyama wengineo ambao huonekana katika maeneo ambayo Drogba hupendelea kuzunguka akiwa na wageni wake.
Ni nadra sana kuweza kumsogelea Twiga mpaka muwe na usawa wa karibu mara nyingi Drogba yeye anamkaribia bila Twiga kutimua mbio. Inaelezwa kuwa mara chache Twiga huvumilia kwa muda kidogo na baadae kuanza kulala akiwa na Drogba.
Unapoanza kukiacha kijiji cha Mloka na kisha kuelekea lilipo geti la kuingilia Selous (Mtemere) utaanza kukutana na vibao vikikuonyesha zilizopo kambi kadhaa. Kambi nyingi za Mloka zimejengwa pembezoni mwa mto Rufiji ukiwa unaelekea Mtemere nyingi zipo upande wa Kushoto wa barabara.

MAAJABU::Yajue maisha ya Drogba wa pori la Selous yanavyompatia kipato


KATIKA kipindi cha miaka minne iliyopita hadi kufikia leo, watalii wanaoenda kutembelea Pori la Akiba la Selous lililopo katika Kijiji cha Mloka kilichopo Kata ya Mwaseni wilayani Rufiji mkoani Pwani, wanapata fursa ya kufurahia utalii wa aina yake pindi wanapokutana na mmoja wa wanakijiji wa eneo hilo anayejulikana kwa jina la Mwananyika lakini kwa sasa amepewa jina la Drogba kutokana na umaarufu aliojipatia miaka ya hivi karibuni. Inaelezwa kuwa amefanana na Drogba yule mwanasoka anayechezea timu ya Chelsea kwa sasa.

Imeelezwa kuwa, Kijiji hiki ni kijiji cha mwisho kabisa kabla ya kufika kwenye geti la Mtemere, moja ya mageti ya kuingilia kwenye pori hili. Watalii kutoka ndani na nje ya nchi (hususani raia wa kigeni) wanapofika katika kijiji hiki hukutana na Drogba ambaye inaelezwa kuwa amepata umaarufu mkubwa kuanzia mwaka 2011 hadi sasa.
Drogba 2
Wenyeji wa kijiji hiki wanasema Drogba ni mmoja wa wajasiriamali aliyewekeza nguvu na uelewa wake wa mambo ya wanyama pori na mazingira yao kwa kutoe elimu kwa wageni wanaungana naye katika kuelewa tabia za wanyama. Yeye haingii kwenye hifadhi bali anazunguka nje ya pori hili kutokana na maeneo mengi kupitika kirahisi na wanyama kupata nafasi ya kuzunguka katika moja ya vijiji vilivyopo kijijini humo na maeneo ya jirani.
Yeye safari zake hujulikana kama bush walk na wageni wake hupata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu maisha ya mwanakijiji na wanyamapori. Vitu kama dawa mbalimbali za asili, hadithi za kale huwa ni sehemu ya vitu wanavyojifunza wageni wa ‘Drogba’.
Shughuli za Mwananyika au Drogba
Watumiaji wa njia inayoelekea katika geti hilo wanaeleza kuwa moja ya shughuli anazofanya Drogba ni kuelekeza wageni kwenye matembezi wanaoingia kwenye pori hilo na kujipatia kipato cha kuendeshea maisha yake pamoja na familia yake (anatumia lugha tatu hadi sasa, Kiswahili, Kiingereza na Kifaransa).
Mwenyewe hujigamba kwa kuziita true Africa walking safari na anapokuwa kazini huwa anavaa mavazi ya asili kabisa (baadae huvaa mavazi ya kawaida) ambayo huyatengeneza kwa magome ya miti huku akiwa amebeba ngao, mkuki na kikapu chake cha kubebea mitishamba na vitu vingine anavyoweza kuvipata akiwa katika eneo lake la kazi pia anazunguka kwenye barabara zilizopo kando kando na pori hilo na wakati mwingine hulazimika kuingia kwenye baadhi ya mapori na kuzunguka na wageni wake nje ya hifadhi japo wapo wanyama (wakali na wapole) wapo katika maeneo anayotembelea.
Kwa ajili ya tahadhari na usalama anapofanya safari za miguu na wageni wake siku zote huwa anaambatana na Askari wa hoteli (campsite) waliofikia wageni wake, askari anakuwa na bunduki kwa ajili ya tahadhari kwa chochote kinachoweza kutokea.
Mara zote mgeni anayefanya utalii katika pori hili, husindikizwa na askari wa Maliasili na wakati huo Drogba yeye anaendelea kuzunguka nje ya hifadhi bila kuwa na woga.
Safari zake huwa na vituo vingi ndani yake na kwenye kila kituo kuna jambo ambalo huona ni vyema wageni wake wanastahili kulifahamu na pia endapo mnaweza kukutana na wanyama anatumia nafasi hiyo kuwafundisha wageni mazingira ya wanyama.
Miongoni mwa mambo wageni wanayofaidi wanapokuwa na Drogba ni kufundishwa namna ya kutambua nyayo za wanyama mbalimbali ambazo huwa wanakutana nazo wakiwa safarini.
Drogba
Historia yake kwa ufupi
Hadi sasa ukifika kijiji hicho kama mtalii ukasikia watu wanamzungumzia Drogba basi kuna uwezekano mkubwa wakawa wanamzungumzia Drogba wanayemjua wao anayetembeza wageni wanaotoka ndani nan je ya nchi. na sio yule ambaye watu mbalimbali wamemzoea kumsikia (anayechezea timu ya Chelsea).
Drogba Selous
Kwa hivi sasa watu wengi wanaeleza kuwa hata jina lake kamili hawalijui kutokana na umaarufu aliojipatia (ni mmoja kati ya watu maarufu sana kijiji hapo) na hususani kwa wadau wa utalii ambao hupeleka wageni kwenye pori hilo kupitia lango la Mtemere linalopakana na kijiji cha Mloka ambapo wanyama hutoka nje na kuzunguka vijijini na maeneo ya karibu.
Hali hii inawafanya wageni kufanya kutembelea maeneo ya nje ya pori ambazo huwaleta karibu na wanyama wa porini, baadhi ya wanyama wanaopatikana nje ya pori hilo ni Swala, Nyati,Tembo, Twiga na Viboko, na wanyama wengineo ambao huonekana katika maeneo ambayo Drogba hupendelea kuzunguka akiwa na wageni wake.
Ni nadra sana kuweza kumsogelea Twiga mpaka muwe na usawa wa karibu mara nyingi Drogba yeye anamkaribia bila Twiga kutimua mbio. Inaelezwa kuwa mara chache Twiga huvumilia kwa muda kidogo na baadae kuanza kulala akiwa na Drogba.
Unapoanza kukiacha kijiji cha Mloka na kisha kuelekea lilipo geti la kuingilia Selous (Mtemere) utaanza kukutana na vibao vikikuonyesha zilizopo kambi kadhaa. Kambi nyingi za Mloka zimejengwa pembezoni mwa mto Rufiji ukiwa unaelekea Mtemere nyingi zipo upande wa Kushoto wa barabara.

MAAJABU::Yajue maisha ya Drogba wa pori la Selous yanavyompatia kipato


KATIKA kipindi cha miaka minne iliyopita hadi kufikia leo, watalii wanaoenda kutembelea Pori la Akiba la Selous lililopo katika Kijiji cha Mloka kilichopo Kata ya Mwaseni wilayani Rufiji mkoani Pwani, wanapata fursa ya kufurahia utalii wa aina yake pindi wanapokutana na mmoja wa wanakijiji wa eneo hilo anayejulikana kwa jina la Mwananyika lakini kwa sasa amepewa jina la Drogba kutokana na umaarufu aliojipatia miaka ya hivi karibuni. Inaelezwa kuwa amefanana na Drogba yule mwanasoka anayechezea timu ya Chelsea kwa sasa.

Imeelezwa kuwa, Kijiji hiki ni kijiji cha mwisho kabisa kabla ya kufika kwenye geti la Mtemere, moja ya mageti ya kuingilia kwenye pori hili. Watalii kutoka ndani na nje ya nchi (hususani raia wa kigeni) wanapofika katika kijiji hiki hukutana na Drogba ambaye inaelezwa kuwa amepata umaarufu mkubwa kuanzia mwaka 2011 hadi sasa.
Drogba 2
Wenyeji wa kijiji hiki wanasema Drogba ni mmoja wa wajasiriamali aliyewekeza nguvu na uelewa wake wa mambo ya wanyama pori na mazingira yao kwa kutoe elimu kwa wageni wanaungana naye katika kuelewa tabia za wanyama. Yeye haingii kwenye hifadhi bali anazunguka nje ya pori hili kutokana na maeneo mengi kupitika kirahisi na wanyama kupata nafasi ya kuzunguka katika moja ya vijiji vilivyopo kijijini humo na maeneo ya jirani.
Yeye safari zake hujulikana kama bush walk na wageni wake hupata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu maisha ya mwanakijiji na wanyamapori. Vitu kama dawa mbalimbali za asili, hadithi za kale huwa ni sehemu ya vitu wanavyojifunza wageni wa ‘Drogba’.
Shughuli za Mwananyika au Drogba
Watumiaji wa njia inayoelekea katika geti hilo wanaeleza kuwa moja ya shughuli anazofanya Drogba ni kuelekeza wageni kwenye matembezi wanaoingia kwenye pori hilo na kujipatia kipato cha kuendeshea maisha yake pamoja na familia yake (anatumia lugha tatu hadi sasa, Kiswahili, Kiingereza na Kifaransa).
Mwenyewe hujigamba kwa kuziita true Africa walking safari na anapokuwa kazini huwa anavaa mavazi ya asili kabisa (baadae huvaa mavazi ya kawaida) ambayo huyatengeneza kwa magome ya miti huku akiwa amebeba ngao, mkuki na kikapu chake cha kubebea mitishamba na vitu vingine anavyoweza kuvipata akiwa katika eneo lake la kazi pia anazunguka kwenye barabara zilizopo kando kando na pori hilo na wakati mwingine hulazimika kuingia kwenye baadhi ya mapori na kuzunguka na wageni wake nje ya hifadhi japo wapo wanyama (wakali na wapole) wapo katika maeneo anayotembelea.
Kwa ajili ya tahadhari na usalama anapofanya safari za miguu na wageni wake siku zote huwa anaambatana na Askari wa hoteli (campsite) waliofikia wageni wake, askari anakuwa na bunduki kwa ajili ya tahadhari kwa chochote kinachoweza kutokea.
Mara zote mgeni anayefanya utalii katika pori hili, husindikizwa na askari wa Maliasili na wakati huo Drogba yeye anaendelea kuzunguka nje ya hifadhi bila kuwa na woga.
Safari zake huwa na vituo vingi ndani yake na kwenye kila kituo kuna jambo ambalo huona ni vyema wageni wake wanastahili kulifahamu na pia endapo mnaweza kukutana na wanyama anatumia nafasi hiyo kuwafundisha wageni mazingira ya wanyama.
Miongoni mwa mambo wageni wanayofaidi wanapokuwa na Drogba ni kufundishwa namna ya kutambua nyayo za wanyama mbalimbali ambazo huwa wanakutana nazo wakiwa safarini.
Drogba
Historia yake kwa ufupi
Hadi sasa ukifika kijiji hicho kama mtalii ukasikia watu wanamzungumzia Drogba basi kuna uwezekano mkubwa wakawa wanamzungumzia Drogba wanayemjua wao anayetembeza wageni wanaotoka ndani nan je ya nchi. na sio yule ambaye watu mbalimbali wamemzoea kumsikia (anayechezea timu ya Chelsea).
Drogba Selous
Kwa hivi sasa watu wengi wanaeleza kuwa hata jina lake kamili hawalijui kutokana na umaarufu aliojipatia (ni mmoja kati ya watu maarufu sana kijiji hapo) na hususani kwa wadau wa utalii ambao hupeleka wageni kwenye pori hilo kupitia lango la Mtemere linalopakana na kijiji cha Mloka ambapo wanyama hutoka nje na kuzunguka vijijini na maeneo ya karibu.
Hali hii inawafanya wageni kufanya kutembelea maeneo ya nje ya pori ambazo huwaleta karibu na wanyama wa porini, baadhi ya wanyama wanaopatikana nje ya pori hilo ni Swala, Nyati,Tembo, Twiga na Viboko, na wanyama wengineo ambao huonekana katika maeneo ambayo Drogba hupendelea kuzunguka akiwa na wageni wake.
Ni nadra sana kuweza kumsogelea Twiga mpaka muwe na usawa wa karibu mara nyingi Drogba yeye anamkaribia bila Twiga kutimua mbio. Inaelezwa kuwa mara chache Twiga huvumilia kwa muda kidogo na baadae kuanza kulala akiwa na Drogba.
Unapoanza kukiacha kijiji cha Mloka na kisha kuelekea lilipo geti la kuingilia Selous (Mtemere) utaanza kukutana na vibao vikikuonyesha zilizopo kambi kadhaa. Kambi nyingi za Mloka zimejengwa pembezoni mwa mto Rufiji ukiwa unaelekea Mtemere nyingi zipo upande wa Kushoto wa barabara.

Jaji Warioba: Tutakutana mtaani


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka 19 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dar es Salaam jana. Picha na Rafael Lubava 
Na Fidelis Butahe, Mwananchi 
Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba imeondoa mambo manne muhimu yaliyokuwa kiini cha kupata Katiba ya mageuzi.
Akiyataja mambo hayo muhimu ambayo ni maadili ya viongozi wa umma,  madaraka ya wananchi, mgawanyo wa madaraka na muungano. “Tutakutana mtaani. Tume tutaendelea kutetea rasimu yetu na wao wawaeleze wananchi kwa nini wameondoa maoni yao yaliyokuwa katika Rasimu ya Pili ya Katiba,” aliongeza kwa ufafanuzi Jaji Warioba.
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 19 tangu kuanzishwa kwa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Dar es Salaam jana, Jaji Warioba alisema rasimu hiyo inatofautiana kwa kiasi kikubwa na rasimu iliyotolewa na tume hiyo Desemba mwaka jana.
“Sina hakika kama tutapata Katiba Mpya labda Katiba iliyoboreshwa. Rasimu au Katiba itakayopendekezwa na Bunge Maalumu haitapigiwa kura hadi 2016. Sina hakika kama kura hiyo itapigwa kwa kuwa hakuna maridhiano hasa kuhusu muungano,  rasimu hiyo itaanza kupingwa tangu siku ya kutolewa kwake,” alisema.
Aliongeza, “Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka kesho Katiba Mpya itakuwa agenda, na agenda hiyo inaweza kuigawa nchi. Kuna uwezekano mkubwa kwamba mwaka 2016 badala ya kupiga kura mchakato ukaanza upya.”
Jumatano wiki hii Mwenyekiti wa kamati hiyo, Andrew Chenge aliwasilisha rasimu hiyo bungeni na kueleza kuwa kamati yake imefuta ibara 28 zilizokuwa katika rasimu ya Jaji Warioba na kuacha ibara 47, kuongeza ibara 42 na kurekebisha ibara 186.
Alisema rasimu hiyo ina sura mpya mbili ambazo ni Mamlaka na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na nyingine inayohusu Ardhi, Maliasili na Mazingira ambayo haikuwekwa katika rasimu ya Warioba kwa kuwa si mambo ya muungano.
Rasimu hiyo ilirejesha muundo wa Serikali mbili kama ilivyo sasa na kutupilia mbali muundo wa Serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Jaji Warioba.
Huku akiwa makini, Jaji Warioba ambaye alitumia saa 1:02 kufafanua umuhimu wa mambo manne yaliyoachwa katika rasimu iliyotolewa na Bunge la Katiba, alisema hivi sasa wajumbe wa Bunge la Katiba wana msemo wao kuwa “Warioba ni shida”, kufafanua kuwa watakapomaliza vikao vya Bunge hilo Oktoba 4, mwaka huu na kurejea mtaani walipo wananchi ndiyo watajua nani ni ‘shida’, kati yake na wao.
Akizungumzia kitendo cha Bunge hilo kubadili kanuni ili kuruhusu wajumbe wake kupiga kura za kupitisha rasimu hiyo kwa baruapepe (e-mail) na nukushi (fax) wakiwa nje ya nchi, Jaji Warioba alisema, “Utaratibu huu hauwezi kutuletea Katiba ya maridhiano. Hata mimi nimeanza kukata tamaa.”
Huku akishangiliwa kila mara na mamia ya watu waliohudhuria kongamano hilo, wakiwamo wasomi na baadhi ya waliokuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alisema kila mjumbe wa tume hiyo alikuwa na mawazo yake juu ya Katiba, lakini waliweka kando mawazo yao baada ya kusikia kauli za Watanzania juu ya Katiba wanayoitaka.
Katika maadhimisho hayo,  Jaji Warioba pia alizindua kitabu cha marehemu Dk Sengondo Mvungi kiitwacho ‘Mvungi anapumua Katiba’. Dk Mvungi  aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Katiba na mmoja wa waanzilishi wa LHRC, alifariki dunia mwaka jana nchini Afrika Kusini alikopelekwa kutibiwa baada ya kujeruhiwa na majambazi akiwa nyumbani kwake.

Maadili ya Viongozi wa umma
Kuhusu maadili ya viongozi wa umma alisema, “Wananchi walitoa maoni mazito kuhusu maadili ndani ya jamii na maadili ya viongozi. Kutokana na maoni ya wananchi Tume iliimarisha misingi mikuu ya taifa iliyo katika Utangulizi wa Rasimu. Misingi iliyo katika katiba ya sasa ni uhuru, haki, udugu na amani.”
Alisema kutokana na maoni ya wananchi misingi mipya iliongezwa ambayo ni;  utu, usawa, umoja na mshikamano na kwamba wananchi pia walipendekeza tunu za taifa ziwekwe kwenye katiba ambazo ni utu, uzalendo, uadilifu, umoja, uwazi, uwajibikaji na lugha ya Taifa (Kiswahili ).
“Bunge Maalumu limeondoa uadilifu, uzalendo, umoja, uwazi, na uwajibikaji kutoka kwenye orodha ya tunu za taifa na kuziweka kwenye misingi ya utawala bora. Kila Mtanzania anatakiwa awe mzalendo, kila Mtanzania anatakiwa kuwa mwadilifu, kila Mtanzania anatakiwa aenzi umoja. Inakuwaje mambo haya yahusu utawala tu?” alihoji.
Alisema tunu za taifa ndiyo msingi wa utamaduni na maadili ya taifa, kwamba mwelekeo wa taifa utategemea jinsi wananchi wanavyoenzi misingi mikuu na tunu.
Aliponda kitendo cha Bunge la Katiba kutoweka miiko ya uongozi kwenye Katiba wakati kila siku viongozi wanalalamika juu ya rushwa na ufisadi, pamoja na fedha za umma kuwekwa kwenye akaunti za benki nje ya nchi.
“Katika bara la Afrika, nchi kama Afrika Kusini, Namibia na Kenya zimeweka misingi ya maadili na miiko katika Katiba. Hapa kwetu sheria tulizonazo haziwezi kupambana na rushwa na ufisadi. Sijui kwa nini Bunge la Katiba wameondoa hili,” alisema.
Madaraka ya Wananchi
Jaji Warioba alipinga kitendo cha Bunge la Katiba kuondoa kipengele cha wananchi kuwa na madaraka ya kumwondoa mbunge wao kama hawaridhishwi na uwakilishi wake bungeni, mbunge kutokuwa waziri ili aweze kuwawakilisha vizuri na ukomo wa mbunge kuwa vipindi vitatu .
“Bunge lina kanuni za kuwawajibisha wabunge na wananchi nao wanapenda kuwa na madaraka hayo. Vyama vya siasa vina madaraka ya kuwaondoa wabunge wao katikati ya kipindi. Wananchi nao wanataka watumie madaraka yao,” alisema.
Mgawanyo wa madaraka
Akizungumzia mgawanyo wa madaraka kati ya mihimili ya Bunge, Serikali na Mahakama, alisema pendekezo lao la kumwondoa rais na mawaziri kutoka kwenye Bunge linakataliwa kwa sababu nchi imezoea mfumo wa kibunge kama ilivyo kwa nchi nyingi za jumuiya ya madola.

“Siyo kweli kwamba mfumo wetu ni wa kibunge. Kwenye mfumo wa kibunge mkuu wa nchi hana madaraka ya utendaji. Madaraka hayo yako mikononi mwa Waziri Mkuu ambaye ni mbunge. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Uingereza, India, Canada, Australia, New Zealand,” alisema.
Akitolea mfano mwingiliano huo alisema wakati wa kutunga Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, bunge lilitunga sheria lakini baadaye Rais alifanya mazungumzo na watu nje ya bunge na baadaye bunge likalazimika kubadili uamuzi.
 “Tanzania ina mfumo wa urais ambapo rais ni mkuu wa nchi, mtendaji mkuu na amiri jeshi mkuu. Rais na mawaziri wake kuwa sehemu ya bunge ni kuchanganya mamlaka. Hali hii inafanya Serikali kuingilia mamlaka ya bunge na pia bunge kuingilia mamlaka ya Serikali,” alisema.
Aliongeza, “Nchi nyingi zimebadili Katiba zao ili kutenganisha madaraka ya mihimili. Jirani zetu wa Msumbiji na Kenya wamefanya hivyo. Kenya imefanya hivyo na sababu zao zinafanana kabisa na zile ambazo wananchi wa Tanzania walitoa.”
Muungano
Huku akitaja kero 20 za muungano, 11 za Zanzibar na 10 za Tanzania Bara zilizotajwa na wananchi wakati wa kukusanya maoni, Jaji Warioba alisema, “Ingawa Rasimu ya Bunge Maalumu limerudisha madaraka ya rais kuigawa nchi hiyo peke yake haitoshi. Mambo haya ni magumu kubadilika kwa upande wa Zanzibar.”
Aliongeza kuwa ili kufanya mabadiliko kwenye Katiba ya Zanzibar ni lazima mabadiliko yapitishwe kwa theluthi mbili au zaidi ya Wawakilishi.

Friday, 26 September 2014

Breaking news msanii wema sepetu afariki dunia

. Msanii na miss Tanzania mstaafu Wema Aizak Sepetu amefariki dunia akiwa njiani akiwaishwa hospitali baada ya kuanguka akiwa ofisini kwake.  Msanii  huyu maarufu nchini inasemekana alipata mshtuko baada ya kusikia kuwa mpenzi wake alipata ajali mda mchache uliopita. Hayo ni baadhi ya matukio katika muvi mpya iliyotoka jana inayoitwa My Love. Ndani yupo Wema alicheza kama mke wa Hemed phd, tafadhali usikose nakala yako....