Tuesday, 12 August 2014

KAGAME'S DAUGHTER vs OBAMA'S DAUGHTER....who is natural BEAUTIFUL?

KAGAME'S DAUGHTER
                                            SHE IS EXTREMELY BEAUTIFUL!!! 
Image result for picture of malia obama today
 
 
 



UNADHANI HII NYUMBA NI YA MSANII GANI HAPA BONGO??????

t23


 Ni utaratibu wa millardayo.com kukupa vitu nje ya habari, karibu kwenye post ya nyumba leo ambayo inakupa nafasi ya kupata ideas ya kujenga au kubadili kwa kufanya chochote kwenye nyumba unayoishi au unayojenga.
Sio kila mmoja ana uwezo wa kujenga nyumba kama hizi lakini upo uwezekano wa kuchukua idea ndogo na kuifanyia kazi kama Sebule, madirisha, jiko, meza, viti, ngazi na mipangilio mingine ya nyumba.









t8



t10



t12



t15



t17



t19



t21



MIAKA IJAYO UKIWA HUNA UKIMWI watu watakushanga sana...LIL WAYNE NAYE YUMO.


Lil Wayne Ajitangaza Hadharani Kuwa Yeye ni Mwasiriki wa Virusi vya Ukimwa-Shocking

Lil Wayne Ataingia katika Orodha Ya Mastaa Wanaoishi na virusi vya Ukimwi Akiwemo Gwiji wa Mpira wa Kikapu Magic Johnson.
Katika Ukurasa Wake wa Tweeter Ameandika Hivi:

"Its Time to tell my Fans aka my family. I tested positive for HIV. But i Wont Let it Get the Best of me#Young"


Akiwa na Maana kuwa Ni muda muafaka sasa wa Kuwaambia mashabiki na familia yangu kuwa Nimepima HIV na Kukutwa ninao. lakini Sinta kubali uchukue Mazuri yangu



DUNIA IMEKWISHA au WALIMWENGU NDO WAMEMUASI MUNGU...

Kutana na 'Baba' wa Familia Aliyepata Ujauzito na Kujifungua!  

 
Lakini kwa mujibu wa Bianca, wawili hao wamekuwa wakishiriki tendo la ndoa kama kawaida kwa kuwa wanaamini kubadili kwao mfumo wa maisha hakuwezi kubadili viungo vyao vya mwili. Matokeo yake, baba alipata ujauzito na kujifungua. Na hivi sasa wana watoto wawili.

MR & MRS SELFIE::::KIM KARDA na BABA NORTH(KANYEEE)

Picha nyingine ya Kim Kardashin na Kanye West inayopata likes nyingi hivi sasa.

kim4
Wiki chache zilizopita selfie aliyopiga Kim Kardashian wakati Kanye West amelala ilipata umaarufu mkubwa na kupata likes nyingi sana kwenye ukurasa wa instagram wa Kim Kardashain.
Hivi sasa Kim na Kanye wamepiga picha waki-kiss kwenye elevator, kama kawaida ya Kim Kardashian ametengeneza headline baada ya kuiweka instagram.
Hadi post hii inaenda hewani picha hiyo imepata likes zaidi ya lakini tisa.
kim
kim2

NYOKA KARUDI SHIMONI KWAKE:CHRIS BWIZZO VS RIHANNA

Ushahidi mwingine wa Chris Brown na Rihanna wapo karibu kurudiana

chris
Baada ya siku moja tu Chris Brown ku-post poster la tour ya Rihanna na Eminem kwenye instagram, Chris Brown ameonekana kuendelea kuongeza ukaribu zaidi na Rihanna.
Japokuwa picha haipo clear sana lakini inaonyesha Chris Brown alivyokwenda back stage ambapo alikuwepo Rihanna kwenye moja ya show za tour hiyo.
Picha haionyeshi vizuri lakini kuna mashahidi wengi wanasema kwamba Chris Brown alikuepo backstage akiwa na Tyga na welienda kwa ajili ya Rihanna.brown

KATI YA HIZI TABIA YAKO WEWE IKO WAPI.....


Aina za Mabinti Na Tabia Zao Katika Mapenzi Kulingana na Maumbo ya Miili Yao

Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao:

1. Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao

2. Wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjia hawajui
kubembeleza hata kdogo

3. Wasichana wenye DIMPOZ,MWANYA,M
ATEGE MBINUKO,MAHIPS NA KITEMBE,hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi

4. Wasichana WANENE huongoza kwa MAPENZI YA KWELI yaani akipenda amependa kweli

5. Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa kutendwa!

6. Wasichana wenye NGOZI NYEUSIwanaongoza kwa KUTOA MIMBA na kupenda wanaume warefu na weupe

7. Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia nyumbani, na hawa weupe weng wao
huolewa wakiwa na watoto tayari huku wakipenda kuolewa na waarabu kulko wanaume weusi.

Je kuna kundi jingine unalolijua na tabia zao?

HIVI KATI YA WEMA NA DIAMOND,NANI YUPO KISANII ZAIDI katika mahusiano YAO?

Mara nyingi Wema amekuwa akimsupport mchumba wake kwa kupanda naye jukwaani na hivyo kusababisha shangwe kubwa.

ushabiki wa Wema kwa Diamond kidogo umepitiliza na hata kama umekuwa ukishangiliwa, tunahisi anajishusha kiaina. 

Kuna ile hadhi ya mke lazima ilindwe hasa kama mke ama mpenzi wako si msanii kama wewe. Wema ni muigizaji si dancer ama mwanamuziki na kwa muigizaji wa filamu mwenye mashabiki wengi, kupanda jukwaani na kukata viuno design kama ni kushusha brand ama nini? Si mbaya kama angekuwa akipanda na kutoa salamu fupi kisha kushuka na kuwa mtazamaji kama watu wengine.

Tupe Mtazamo wako.

Epuka Vitu Hivi Unapoamua Kuwa na Mchepuko ambao ni Mume wa Mtu ama Mke wa Mtu

Ku date mke wa mtu siyo jambo zuri, na ukiweza kuepuka ni vyema ukafanya hivyo. Hivi karibuni rafiki yangu wa karibu amekumbwa na balaa kubwa kutokana na kitendo hiki. Pamoja na kwamba si jambo zuri lakini ukweli ni kwamba kwa sababu tofauti totauti watu wataendelea ku date wake za watu. Offcourse hata wanawake wengine kutokana na sababu mbalimbali kwenye ndoa zao wataendelea kuchepuka. hivyo mada hii inalenga kuwasaidia wote wanaochepuka wake kwa waume wasikumbwe na zahama kama iliyomkumba rafiki yangu. Kwa experience yangu zifuatzo ni rules ambazo wachepukaji wanatakiwa ku zi observe.

1. Jua kuwa mwanamke au mwanamme anayechepuka siyo mwaminifu. Hivyo anaweza kuwa na mchepuko zaidi yako. That is you are not alone. Hivyo always jaribuni kutumia kinga. Hata kama hana mchepuko mwingine possibility ni kubwa kuwa mme au mke wake pia ana mchepuko. So kutumia kinga ni jambo jema.

2. Hata kama mkiamua kuplay bare inabidi mjitahidi kuzuia mimba. Kumpa mimba mke wa mtu ni jambo baya ambalo linaweza kutokea na kuharibu kabisa maisha ya mmoja wenu au wote.

3. Avoid texting. Sms za ma lavi davi ni nzuri katika kuhamasishana na ku furahia pale mnapokuwa mbali. Lakini linapokuja swala la mume au mke wa mtu meseji ni njia mbaya kabisa ya mawasiliano. Usipende kabisa na ikiwezekana acha sms kabisa. Pale inapobidi kuwasiliana tumieni voice. Piga simu. Watu wengi wamekamatwa kwa sababu ya sms.

4. Msiweke utamaduni wa kukutana. Namaanisha msikutane sehemu na siku zinazofanana. E.g kila jumatano au jmosi sehemu A. Msiwe na kawaida. Badilisheni hotel, siku na wakati as many times as possible. Msiwe na kawaida.

5. Tafuta muda wa faragha ambao sio questionable for both of you.

6. Msipende kutumia usafiri mmoja na kukaa sehemu moja. Kutaneni eneo la tukio na kila mmoja aende kivyake. Msipende kukaa pamoja eneo la wazi kama bar. Huwezi kujua mtu aweza kuwaona. Hata kama mnakunywa nyweeni chumbani.

7. Hata kama mnapendana na ku enjoy kiasi gani kamwe msitelekezw wenza wenu au kufanya wenza wenu wahisi kuwa kuna kitu kinaendelea. Kama lara1 anavyosemma ni lazima uonyeshe high degree ya unafiki.

8. Mchepuko ni siri ya watu wawili. Never intoduce or let your best friends, shoga etc know about it. Hata rafiki zako wa karibu vipi hawatakiwi kujua kama una chepuka.

                                        Kumbuka,mchepuko sio dili,baki njia kuu

Monday, 11 August 2014

VUNJA MBAVU ya SIKU HIYO...hutaki kalale

Dah! Tamaa Mbaya Sana!!!

Jamaa mmoja anayefahamika kwa jina la John alienda nyumbani kwa rafikiye na kumkuta mke wa rafiki yake. Kwa kuwa jamaa alikuwa tongoza tongoza aliamua kumtongoza mke wa rafiki yake. Mkasa mzima ulikuwa hivi;
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? Tena koma! ( Kwa hasira)
JAMAA: Nitakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
Kesho yake Jamaa kaja na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake, akabandua mzigo kiulaini sana tu maana milioni moja sio mchezo! Mwanamke akatoa mikao yote na visivyoliwa akavitoa!
Jioni ilipofika mume akarudi nyumbani na kitu cha kwanza tu kukifanya alipofikia ilikuwa kumuuliza Mkewe,
MUME: Rafki yangu John kaleta hela yangu milioni 1?
MKE:  (Akajibu kwa unyonge!!) “Ndio!”

MUME: Yes! Ndio maana nampenda John kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi mzigo umeliwa bure, chezea vijana wa mjin weye..
HAKUNA MAPENZI YA PESA 100%!!!!!!!!

Love and Marriage Cartoons.....REFRESH YOUR MIND and you too

toon875

Baada ya Gwajima Kununua Helikopta, Askofu Kakobe Ameyasema Haya.


Written By Udaku Specially on Monday, August 11, 2014 | 7:54 AM
Kama sehemu ya vyanzo vyako vya habari ni mitandao kama vile website, blogs, facebook, twitter na Instagram inawezekana hii stori ya Gwajima ambae ni Muhubiri wa Injili kununua Helikopta uliiona hata zaidi ya mara moja.
Hata hivyo Muhubiri mwenzake Askofu Zacharia Kakobe Aug 10 2014 amenukuliwa na gazeti la Nyakati na kuizungumzia hiyo Helikopta akisema ‘kitendo cha Gwajima kununua helikopta kwa ajili ya kazi zake za Injili kinastahili kufurahiwa na Wakristo wote wa kweli, tujifunze kupongezana.. nampongeza sana’
Kumiliki kwake Helikopta kutachangia katika kufuta dhana potofu ambayo imedumu kwa muda mrefu ya kuyaita Makanisa ya kilokole…. makanisa ya vichochoroni, Helikopta sio starehe na hata muundo wake sio wa starehe bali ni kazi, itamwezesha pia kufika maeneo ambayo gari sio rahisi kumfikisha kutoa neno la Mungu’ – Kakobe

Kuhusu Askofu Kakobe kununua Helikopta yake, amesema >>> ‘mimi sio mtu wa mashindano na pia kila mtu anakwenda sawa kutokana na ono aliloitiwa, haya sio mambo ya kushindana… hicho ndicho kinacholeta shida mara kwa mara, Gwajima ana Helikopta ni kwa manufaa ya Ufalme wa Mungu, mimi nina chakwangu ni kwa utukufu wa Mungu, hakuna haja ya kuigana’

BOKO HARAM SASA WAADHIBIWA KICHAWI MSITUNI WALIKO

 
 
Wanajeshi wa Boko Haram wanaofanya mashambulizi na kuua raia wasio na hatia huko Nigeria wamedaiwa kuanza kukimbia msitu baada ya nyoka wenye sumu kali na nyuki kuwashambulia.

Habari hizi zilielezwa na mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa na kuthibitisha kuwa ni mmoja wa member wa kundi la Boko Haram na alieleza kuwa hivi sasa kundi hilo limelazimika kuhama msitu na linaelekea maeneo ya mpaka wa Nigeria na Cameroon baada ya wanajeshi wake wa ngazi za juu kushambuliwa na nyoka na kupoteza maisha.

Kumezuka hisia za kiimani kuwa Boko Haram wanaadhibiwa na mizimu ya watu  waliowauwa kinyama

Jeshi la Nigeria limeshafanya juhudi za kuwaondoa msituni lakini imeshindikana  na hadi sasa kundi hilo linawashikilia wasichana zaidi ya 260 na bado linaendelea kushambulia Nigeria kwa mabomu ya kutegwa.

HII NDO HISANI YA DADA YETU MPENDWA:FLAVIANA MATATA

Hiki ndicho kitu kitachofanywa na Flaviana Matata Foundation kwa wanafunzi mkoani Lindi

fmf
Flaviana Matata foundation ambayo imeanzishwa na model Flaviana Matata siku ya leo (11/8/2014) itakuwa mkoani Lindi katika muendelezo wa kazi za kuchangia elimu.
Timu ya FMF itakuwa kwenye shule za msingi Mtua huko Nachingwea na Litingi iliyopo Lindi Mjini. Wanafunzi 700 wa shule hizi mbili watapokea vifaa vya shule kutoka Flaviana Matata foundation ambapo shughuli hii imedhaminiwa na PSPF.
Flaviana Matata foundation imewai kufanya kazi kama hizi sehemu tofauti kama Bagamoyo na sehemu nyingine kwenye project za FMF back to school project.
fmf2
fmf3

Sunday, 10 August 2014

Arsenal 3-0 Man City: 5 things we learned from the Community Shield

    • Aug 10, 2014 17:04
    • Opinion
    • by EdMalyon

As Arsenal hammered Man City in the season's traditional curtain-raiser, we take a look at what we can conclude from our afternoon at Wembley


Arsenal won their first piece of silverware this season, beating Manchester City 3-0 to claim the Community Shield at Wembley.
Santi Cazorla netted the opener before Aaron Ramsey doubled their lead before half-time.
Substitute Olivier Giroud scored a stunner from distance to put the game beyond a weakened Manchester City side, who were missing the likes of Vincent Kompany, Bacary Sagna, Sergio Aguero and Pablo Zabaleta.
And here are five things we learned from the Community Shield.
You can also read our match report here.

We can't take too much from this

 Arsenal were by far the better side and deserved to win by a margin, but it would be foolish to read too much into a game where both sides were missing plenty of first-choice players.
Nobody expects Dedryck Boyata to start when Manchester City open their Premier League title defence next week, and similarly the likes of Bruno Zuculini are incredibly unlikely to feature.
But Manuel Pellegrini will still be bothered by his side's lack of cohesion and urgency.
The Chilean, usually quite reserved, was seen jabbing and prodding feverishly on the touchline during the first half as his side lacked urgency. It's not just the names that need to return to this City side, it's last season's fluency and desire.
Meanwhile for Arsenal, second string or not, it was a great way to finish pre-season with the three Germans yet to return and at least one new signing to come.

Four-four-f*****g-two

Michael Steele - The FA 
 
Formation men: Pellegrini got it wrong up against Wenger's side
 Manuel Pellegrini stuck with Mike Bassett's favourite formation for this game and it was a significant contributory factor in his side getting pummelled.
It is undoubtedly a useful shape, and one that will continue to see a revival this season with the parallel rise of the 3-5-2, but up against Arsenal's classic 4-2-3-1 there was simply too much for Fernando and Yaya Toure to deal with in that central area.
Wenger's men simply overran the game in midfield early on and the champions never got a foothold. Stevan Jovetic didn't particularly drop in and help out his floundering teammates while Edin Dzeko strolled around aimlessly in attack, and it was all too easy for the Gunners.

Ram raid

Getty
 
Walking on Aar: Ramsey celebrates his goal
 It's easy to forget, but Aaron Ramsey was the Premier League's best player last season until a certain Uruguayan returned from his ban and started banging in the goals.
This coincided with Ramsey's injury and it led to the unravelling of Arsenal's Premier League title chase, but with a fully-fit Rambo they can once more aspire to fight it out for the championship.
This new version of Ramsey can't possibly be compared to the kid that we saw two or three seasons ago.
Physically he's a different beast, and his game has evolved both defensively - where he is far better - and in terms of adding goals to his game. The Welshman could be one of the league's biggest stars if he can stay fit, but as ever with Wenger's men that seems to be a big 'if'.
New fitness supremo Shad Forsythe has got his work cut out.

Cal on me

Getty
  Calum Chambers signs for Arsenal
Centre of attention: Chambers did well in the middle
 Calum Chambers could prove to be one of the buys of the year at just £16million, with the Saints academy product set to play in three different positions for the Gunners for many years to come.
The Englishman featured at centre-back once again for this game, mainly due to a lack of cover, but acquitted himself well against two players you'd have to consider as top-level strikers.
Wenger has hinted that Chambers may, long-term, be a defensive midfielder for his Arsenal team and that could well be the case. But the Frenchman also now knows that despite the defender's tender years, he can rely on him at centre-back against quality opposition.
(Note to Arsene: You still need to buy a centre-back though)

Attacking riches

David Price 
 
San of God: Even Yaya is starting to look like a handy player
 It was probably neither team's first XI but the raft of attacking talent on show from Arsenal tells you just how deep their squad is in that area now.
And with Yaya Sanogo emerging from joke territory into something approaching a useful footballer, the Gunners are looking phenomenally well-stocked.
Alexis Sanchez and Alex Oxlade-Chamberlain played 45 minutes apiece, both dynamic players that bring something different to the party. We also saw Aaron Ramsey impress, Jack Wilshere looking energetic and Santi Cazorla opening the scoring in style.
Then there was Olivier Giroud coming on and netting an absolute ripsnorter, Tomas Rosicky being introduced to conrtol the game in the late stages and Theo Walcott watching on from the stands.
Oh, and Joel Campbell got five minutes to run about and cause trouble.
If Wenger buys a defensive midfielder and/or a centre-back then you can be pretty sure that everything in front of them will take care of itself this season.

Liverpool 4-0 Dortmund: 5 things we learned as the Reds signed off pre-season in style


Brendan Rodgers' side rounded off the preparations with a comprehensive display against the Bundesliga side - here's what we gleaned
  • By Ben Burrows

 Liverpool signed off their pre-season in style with a 4-0 thumping of Borussia Dortmund.
Goals from Daniel Sturridge, Dejan Lovren, Philippe Coutinho and Jordan Henderson saw the Reds run out comfortable winners in front of a packed Anfield.
With their first league game against Southampton now just seven days away Brendan Rodgers is sure to have been pleased from what he saw from his new-look side.
A strong looking starting line-up, shorn only of Adam Lallana and Lazar Markovic, means plenty can be gleaned from the last outing before the big kickoff.
Here's what we and he learned from as their pre-season came to an emphatic close.

Coutinho is the perfect 10

With a certain Mr Suarez now sunning himself for four months in Barcelona there is room for one of those he left behind to take the mantle of main man.
Rodgers' system is characterised by fluidity and versatility but it seems he has earmarked Philippe Coutinho as the linchpin for all of it to float around.
In both senses of the word the Brazilian playmaker was central to everything Liverpool did well on the day.
A constant threat prodding and probing and finding space he was deployed as the number 10, and while others moved around him at will, he stayed put as orchestrator in chief.
Versatile as he may be it seems that, at least to be begin with, he will be Rodgers' perfect 10 to start with.
 
Andrew Powell
 
Perfect 10: Coutinho impressed in the most important role on the field
 

Henderson is Mr Versatile

While Coutinho was relatively static Jordan Henderson moved all over and showed just why Rodgers rates him so highly.
Last term he was used as a central midfielder alongside Steven Gerrard at times and at others in behind the infamous SAS front two.
Against Dortmund he was utilised wider on the right in an attacking three but did nothing to dampen his impact as he again looked like the £20million midfielder he was bought to be.
With numerous signings already in and more to follow there should be plenty of rotation on the red side of Merseyside this season.
But Henderson showed again why he should still be one of the first names on the sheet week in week out.

Manquillo can be the new Arbeloa

Rodgers gave new boy Javier Manquillo the nod at right back while incumbent Glen Johnson was shifted out to the left-hand side of a four-man backline.
And the young Spaniard looked every inch a Liverpool player on his first outing as a Red.
The 20-year-old was good around both boxes and showed enough to suggest that Johnson may well be sweating for his first-team spot sooner rather than later.
Indeed, some interested observers were reminded of a Spanish full-back of years gone by.
 

Injured Lallana and Markovic won't be missed

At times last season the Reds were rightly or wrongly labelled a one-man team.
But that won't be a criticism going through this campaign.
Even shorn of new boys Adam Lallana and Lazar Markovic, Rodgers' side looked a real threat whenever they went forward.
Instead of relying on a certain Uruguayan every week the Reds boss now has a wealth of attacking talent at his disposal.
Sturridge, Sterling, Coutinho, Henderson, Lambert, Suso and Ibe with Lallana and Markovic still to join them should strike fear into opposition managers from the word go.

Sturridge CAN fill the Suarez void

He may have only got on the scoresheet once against Dortmund but the England man showed signs that he will embrace the role as the Reds number one goalgetter.
The nonchalance of the finish for the opener speaks of a man completely comfortable with what he has been tasked to do this season.
Sturridge now looks a world away from the petulant and volatile youngster of just a few years ago - instead he looks every inch a top quality centre forward and should relish the challenge going forward.
Leading the line for one of English football's biggest clubs doesn't look like it will phase the 24-year-old one bit, something that should have already excited Reds fans salivating.

Women Now Able To Pee Standing Up Using This Weird New Product

Todd-Spence by Todd-Spence on Aug. 08, 2014
*Magical flowers sold separately.
What a milestone for women. In 1920, women were allowed to vote. In 2013, women were allowed to serve on attack submarines. In 2014, women are now able to stand up and pee without making a mess with this new "one and done" pee product.
That's right, with the new Stand Up line of upright peeing products, women are now able to pee literally anywhere like us guys without looking so girly about it. Sure, there have been other products like GO-GIRL that allow women to pee while standing, but this seems to be the first which allows women to throw it away instead of being forced to wash it out like a maniac. These things should be used like toilet paper, not a dinner plate.
Created just this year in San Francisco, the product's site states that they are "committed to providing all women a hygienic and dignified bathroom experience, we invented 'The Stand Up': a biodegradable, disposable peeing accessory that helps women keep their distance from the mess and feel the freedom to go anytime, anywhere." Personally, I think it looks like a party hat.
The Superwoman Pack = 36 Stand Up's. That's a lot of peeing.
Still not convinced, ladies? Here's a fun diagram showing how to use the product when you're drunk in an alley and totally forgot to use the bathroom before leaving the bar. Let's face it, that's the only time we all pee outside anyway.
I enjoy the product illustrating how to use it at a toilet. As if sitting down is the lesser preferred option. But then again, maybe it is. I'm not a lady so who am I to judge?  Also I'm glad step four is throwing it away. Maybe the most important part of the process I'd say. The product however does not come with toilet paper which is an integral part of a lady using the bathroom, so I guess that part hasn't been advanced unfortunately.
What does everyone think? Is this a necessary product in a world where women are sick and tired of sitting on toilets? Does the color scheme in these pictures burn your retinas too? Please let us know in the comments, I need to know.
Of course this product doesn't negate the ole pull back and shoot method. Yeah, that's right, I know about that one.

Saturday, 9 August 2014

SHIIIIIII!!!!:ongea taratibu

MANENO HAYO: Cheka na katuni za KIPANYA


Picha 5 za ajali ya kuungua kwa basi la 5 Aliance leo

1bs

Hili ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es salaam limeungua asubuhi ya August 09 likitokea Mtwara kuelekea Dar es salaam.
Taarifa ya awali inasema kuwa hakuna abiria aliyepata madhara yoyote juu ya kuungua kwa basi hili ambalo limeteketea kijiji cha Mihambwe mkoa wa Lindi.

5bs
Basi likiungua hapo
4bs
Add caption


3bs
2bs
Kabla ya moto