Tuesday, 12 August 2014
UNADHANI HII NYUMBA NI YA MSANII GANI HAPA BONGO??????

Ni utaratibu wa millardayo.com kukupa vitu nje ya habari, karibu kwenye post ya nyumba leo ambayo inakupa nafasi ya kupata ideas ya kujenga au kubadili kwa kufanya chochote kwenye nyumba unayoishi au unayojenga.
Sio kila mmoja ana uwezo wa kujenga nyumba kama hizi lakini upo uwezekano wa kuchukua idea ndogo na kuifanyia kazi kama Sebule, madirisha, jiko, meza, viti, ngazi na mipangilio mingine ya nyumba.
![]() |
MIAKA IJAYO UKIWA HUNA UKIMWI watu watakushanga sana...LIL WAYNE NAYE YUMO.
Lil Wayne Ajitangaza Hadharani Kuwa Yeye ni Mwasiriki wa Virusi vya Ukimwa-Shocking
Lil Wayne Ataingia katika Orodha Ya Mastaa Wanaoishi na virusi vya Ukimwi Akiwemo Gwiji wa Mpira wa Kikapu Magic Johnson.
Katika Ukurasa Wake wa Tweeter Ameandika Hivi:
"Its Time to tell my Fans aka my family. I tested positive for HIV. But i Wont Let it Get the Best of me#Young"
Akiwa na Maana kuwa Ni muda muafaka sasa wa Kuwaambia mashabiki na familia yangu kuwa Nimepima HIV na Kukutwa ninao. lakini Sinta kubali uchukue Mazuri yangu
Katika Ukurasa Wake wa Tweeter Ameandika Hivi:
"Its Time to tell my Fans aka my family. I tested positive for HIV. But i Wont Let it Get the Best of me#Young"
Akiwa na Maana kuwa Ni muda muafaka sasa wa Kuwaambia mashabiki na familia yangu kuwa Nimepima HIV na Kukutwa ninao. lakini Sinta kubali uchukue Mazuri yangu
DUNIA IMEKWISHA au WALIMWENGU NDO WAMEMUASI MUNGU...
Lakini kwa mujibu wa Bianca, wawili hao
wamekuwa wakishiriki tendo la ndoa kama kawaida kwa kuwa wanaamini
kubadili kwao mfumo wa maisha hakuwezi kubadili viungo vyao vya mwili.
Matokeo yake, baba alipata ujauzito na kujifungua. Na hivi sasa wana
watoto wawili.
Cha kushangaza ni kwamba wana ndoa hao hawawachanganyi majirani tu, lakini pia wamewaficha hadi watoto wao wadogo ambao wanaamini kabisa kuwa Bianca ndiye aliyewazaa na baba yao ni Nick. Lakini siri hii itakaa hadi lini ili hali majirani wanajua na wa wanandoa hao wameshaeleza kwenye vyombo vya habari?
“Sifahamu lini tutaanza kuwaambia ukweli, labda wakati ambapo Kai (mtoto wao mkubwa) atakapokuwa na miaka sita hivi, lakini wanatakiwa kuwa na umri mkubwa wa kutosha kuelewa. Ni muhimu wakifahamu kwa kuwa ni siri kubwa ya kuwaficha watoto wako na kama wakifahamu kupitia njia nyingine watachukia sana.” Alisema Bianca.
Biana aliendelea kujitetea kuwa kuwa jike dume/ dume jike haielezi jinsi ulivyo. Ni kama kuwa na rangi nyeupe, nyeusi, mnene au mwembamba haielezi kitu kuhusu jinsi ulivyo.
Kwa upande wa Nick, anasema mara ya kwanza alipopata ujauzito wa Kai alibadilika na kuishi kama mwanamke, hivyo ikawa kama yeye na mumewe wote ni wanawake. Wengi walidhani wanacheza mchezo wa kusagana.
Lakini alipopata ujauzito wa pili ndipo alipoamua kuishi maisha yake ya kawaida kama baba na kitumbo chake. Hali ilimnyima raha mbele za watu waliokuwa wanamshangaa sana.
“Lakini, nilipokuwa na ujauzito wa Pax (mtoto wa pili), watu walikuwa wananishangaa sana, kitu kilichonifanya nikose ujasiri. Sikuweza kuvumilia hali ile, watu kunong’onezana wakiniona, kuninyooshea video na mwisho nikawa siwezi kutoka nyumbani. Nilitoka kwenda kumuona daktari tu. Watu waliogopa kile wasichokifahamu.” Alisema Nick.
Naye Biance alipoulizwa kuhusu suala la kufanya mapenzi, hakusita kueleza wanavyoichukulia.
“Tunaviungo vyote kwa hiyo tunavitumia. Kama tungeweza kuvibadili tungefanya hivyo, ni ingekuwa tofauti- lakini hatuwezi na watoto wanakuja kwanza.”
Sasa hii tunaiitaje? Kila mmoja anatafsiri yake, kwa imani yake na uelewa wake pamoja na mila na desturi. Maajabu hayaishi.
Cha kushangaza ni kwamba wana ndoa hao hawawachanganyi majirani tu, lakini pia wamewaficha hadi watoto wao wadogo ambao wanaamini kabisa kuwa Bianca ndiye aliyewazaa na baba yao ni Nick. Lakini siri hii itakaa hadi lini ili hali majirani wanajua na wa wanandoa hao wameshaeleza kwenye vyombo vya habari?
“Sifahamu lini tutaanza kuwaambia ukweli, labda wakati ambapo Kai (mtoto wao mkubwa) atakapokuwa na miaka sita hivi, lakini wanatakiwa kuwa na umri mkubwa wa kutosha kuelewa. Ni muhimu wakifahamu kwa kuwa ni siri kubwa ya kuwaficha watoto wako na kama wakifahamu kupitia njia nyingine watachukia sana.” Alisema Bianca.
Biana aliendelea kujitetea kuwa kuwa jike dume/ dume jike haielezi jinsi ulivyo. Ni kama kuwa na rangi nyeupe, nyeusi, mnene au mwembamba haielezi kitu kuhusu jinsi ulivyo.
Kwa upande wa Nick, anasema mara ya kwanza alipopata ujauzito wa Kai alibadilika na kuishi kama mwanamke, hivyo ikawa kama yeye na mumewe wote ni wanawake. Wengi walidhani wanacheza mchezo wa kusagana.
Lakini alipopata ujauzito wa pili ndipo alipoamua kuishi maisha yake ya kawaida kama baba na kitumbo chake. Hali ilimnyima raha mbele za watu waliokuwa wanamshangaa sana.
“Lakini, nilipokuwa na ujauzito wa Pax (mtoto wa pili), watu walikuwa wananishangaa sana, kitu kilichonifanya nikose ujasiri. Sikuweza kuvumilia hali ile, watu kunong’onezana wakiniona, kuninyooshea video na mwisho nikawa siwezi kutoka nyumbani. Nilitoka kwenda kumuona daktari tu. Watu waliogopa kile wasichokifahamu.” Alisema Nick.
Naye Biance alipoulizwa kuhusu suala la kufanya mapenzi, hakusita kueleza wanavyoichukulia.
“Tunaviungo vyote kwa hiyo tunavitumia. Kama tungeweza kuvibadili tungefanya hivyo, ni ingekuwa tofauti- lakini hatuwezi na watoto wanakuja kwanza.”
Sasa hii tunaiitaje? Kila mmoja anatafsiri yake, kwa imani yake na uelewa wake pamoja na mila na desturi. Maajabu hayaishi.
MR & MRS SELFIE::::KIM KARDA na BABA NORTH(KANYEEE)
Picha nyingine ya Kim Kardashin na Kanye West inayopata likes nyingi hivi sasa.
Posted by: TZA One
August 12, 2014

Wiki chache zilizopita selfie aliyopiga Kim Kardashian wakati Kanye West amelala ilipata umaarufu mkubwa na kupata likes nyingi sana kwenye ukurasa wa instagram wa Kim Kardashain.
Hivi sasa Kim na Kanye wamepiga picha waki-kiss kwenye elevator, kama kawaida ya Kim Kardashian ametengeneza headline baada ya kuiweka instagram.
Hadi post hii inaenda hewani picha hiyo imepata likes zaidi ya lakini tisa.


NYOKA KARUDI SHIMONI KWAKE:CHRIS BWIZZO VS RIHANNA
Ushahidi mwingine wa Chris Brown na Rihanna wapo karibu kurudiana
Posted by: TZA One
August 12, 2014
Ent.

Baada ya siku moja tu Chris Brown ku-post poster la tour ya Rihanna na Eminem kwenye instagram, Chris Brown ameonekana kuendelea kuongeza ukaribu zaidi na Rihanna.
Japokuwa picha haipo clear sana lakini inaonyesha Chris Brown alivyokwenda back stage ambapo alikuwepo Rihanna kwenye moja ya show za tour hiyo.
Picha haionyeshi vizuri lakini kuna mashahidi wengi wanasema kwamba Chris Brown alikuepo backstage akiwa na Tyga na welienda kwa ajili ya Rihanna.

KATI YA HIZI TABIA YAKO WEWE IKO WAPI.....
Aina za Mabinti Na Tabia Zao Katika Mapenzi Kulingana na Maumbo ya Miili Yao
Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao:
1. Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2. Wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjia hawajui
kubembeleza hata kdogo
3. Wasichana wenye DIMPOZ,MWANYA,M
ATEGE MBINUKO,MAHIPS NA KITEMBE,hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi
4. Wasichana WANENE huongoza kwa MAPENZI YA KWELI yaani akipenda amependa kweli
5. Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa kutendwa!
6. Wasichana wenye NGOZI NYEUSIwanaongoza kwa KUTOA MIMBA na kupenda wanaume warefu na weupe
7. Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia nyumbani, na hawa weupe weng wao
huolewa wakiwa na watoto tayari huku wakipenda kuolewa na waarabu kulko wanaume weusi.
Je kuna kundi jingine unalolijua na tabia zao?
1. Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2. Wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjia hawajui
kubembeleza hata kdogo
3. Wasichana wenye DIMPOZ,MWANYA,M
ATEGE MBINUKO,MAHIPS NA KITEMBE,hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi
4. Wasichana WANENE huongoza kwa MAPENZI YA KWELI yaani akipenda amependa kweli
5. Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa kutendwa!
6. Wasichana wenye NGOZI NYEUSIwanaongoza kwa KUTOA MIMBA na kupenda wanaume warefu na weupe
7. Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia nyumbani, na hawa weupe weng wao
huolewa wakiwa na watoto tayari huku wakipenda kuolewa na waarabu kulko wanaume weusi.
Je kuna kundi jingine unalolijua na tabia zao?
HIVI KATI YA WEMA NA DIAMOND,NANI YUPO KISANII ZAIDI katika mahusiano YAO?

Mara nyingi Wema amekuwa akimsupport mchumba wake kwa kupanda naye jukwaani na hivyo kusababisha shangwe kubwa.
ushabiki wa Wema kwa Diamond kidogo umepitiliza na hata kama umekuwa ukishangiliwa, tunahisi anajishusha kiaina.
Kuna ile hadhi ya mke lazima ilindwe
hasa kama mke ama mpenzi wako si msanii kama wewe. Wema ni muigizaji si
dancer ama mwanamuziki na kwa muigizaji wa filamu mwenye mashabiki
wengi, kupanda jukwaani na kukata viuno design kama ni kushusha brand
ama nini? Si mbaya kama angekuwa akipanda na kutoa salamu fupi kisha
kushuka na kuwa mtazamaji kama watu wengine.
Tupe Mtazamo wako.
Epuka Vitu Hivi Unapoamua Kuwa na Mchepuko ambao ni Mume wa Mtu ama Mke wa Mtu
1. Jua kuwa mwanamke au mwanamme
anayechepuka siyo mwaminifu. Hivyo anaweza kuwa na mchepuko zaidi yako.
That is you are not alone. Hivyo always jaribuni kutumia kinga. Hata
kama hana mchepuko mwingine possibility ni kubwa kuwa mme au mke wake
pia ana mchepuko. So kutumia kinga ni jambo jema.
2. Hata kama mkiamua kuplay bare inabidi
mjitahidi kuzuia mimba. Kumpa mimba mke wa mtu ni jambo baya ambalo
linaweza kutokea na kuharibu kabisa maisha ya mmoja wenu au wote.
3. Avoid texting. Sms za ma lavi davi ni
nzuri katika kuhamasishana na ku furahia pale mnapokuwa mbali. Lakini
linapokuja swala la mume au mke wa mtu meseji ni njia mbaya kabisa ya
mawasiliano. Usipende kabisa na ikiwezekana acha sms kabisa. Pale
inapobidi kuwasiliana tumieni voice. Piga simu. Watu wengi wamekamatwa
kwa sababu ya sms.
4. Msiweke utamaduni wa kukutana.
Namaanisha msikutane sehemu na siku zinazofanana. E.g kila jumatano au
jmosi sehemu A. Msiwe na kawaida. Badilisheni hotel, siku na wakati as
many times as possible. Msiwe na kawaida.
5. Tafuta muda wa faragha ambao sio questionable for both of you.
6. Msipende kutumia usafiri mmoja na
kukaa sehemu moja. Kutaneni eneo la tukio na kila mmoja aende kivyake.
Msipende kukaa pamoja eneo la wazi kama bar. Huwezi kujua mtu aweza
kuwaona. Hata kama mnakunywa nyweeni chumbani.
7. Hata kama mnapendana na ku enjoy
kiasi gani kamwe msitelekezw wenza wenu au kufanya wenza wenu wahisi
kuwa kuna kitu kinaendelea. Kama lara1 anavyosemma ni lazima uonyeshe
high degree ya unafiki.
8. Mchepuko ni siri ya watu wawili.
Never intoduce or let your best friends, shoga etc know about it. Hata
rafiki zako wa karibu vipi hawatakiwi kujua kama una chepuka.
Monday, 11 August 2014
VUNJA MBAVU ya SIKU HIYO...hutaki kalale
Dah! Tamaa Mbaya Sana!!!
Jamaa mmoja anayefahamika kwa jina la John alienda nyumbani kwa rafikiye na kumkuta mke wa rafiki yake. Kwa kuwa jamaa alikuwa tongoza tongoza aliamua kumtongoza mke wa rafiki yake. Mkasa mzima ulikuwa hivi;
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? Tena koma! ( Kwa hasira)
JAMAA: Nitakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? Tena koma! ( Kwa hasira)
JAMAA: Nitakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
Kesho yake Jamaa kaja na milioni 1
wakamalizana na mke wa rafki yake, akabandua mzigo kiulaini sana tu
maana milioni moja sio mchezo! Mwanamke akatoa mikao yote na visivyoliwa
akavitoa!
Jioni ilipofika mume akarudi nyumbani na kitu cha kwanza tu kukifanya alipofikia ilikuwa kumuuliza Mkewe,
MUME: Rafki yangu John kaleta hela yangu milioni 1?
MKE: (Akajibu kwa unyonge!!) “Ndio!”
MKE: (Akajibu kwa unyonge!!) “Ndio!”
Mke hoi mzigo umeliwa bure, chezea vijana wa mjin weye..
HAKUNA MAPENZI YA PESA 100%!!!!!!!!
Baada ya Gwajima Kununua Helikopta, Askofu Kakobe Ameyasema Haya.
Hata hivyo Muhubiri mwenzake Askofu Zacharia Kakobe Aug 10 2014 amenukuliwa na gazeti la Nyakati na kuizungumzia hiyo Helikopta akisema ‘kitendo cha Gwajima kununua helikopta kwa ajili ya kazi zake za Injili kinastahili kufurahiwa na Wakristo wote wa kweli, tujifunze kupongezana.. nampongeza sana’
‘Kumiliki kwake Helikopta kutachangia katika kufuta dhana potofu ambayo imedumu kwa muda mrefu ya kuyaita Makanisa ya kilokole…. makanisa ya vichochoroni, Helikopta sio starehe na hata muundo wake sio wa starehe bali ni kazi, itamwezesha pia kufika maeneo ambayo gari sio rahisi kumfikisha kutoa neno la Mungu’ – Kakobe
Kuhusu Askofu Kakobe kununua Helikopta yake, amesema >>> ‘mimi sio mtu wa mashindano na pia kila mtu anakwenda sawa kutokana na ono aliloitiwa, haya sio mambo ya kushindana… hicho ndicho kinacholeta shida mara kwa mara, Gwajima ana Helikopta ni kwa manufaa ya Ufalme wa Mungu, mimi nina chakwangu ni kwa utukufu wa Mungu, hakuna haja ya kuigana’
BOKO HARAM SASA WAADHIBIWA KICHAWI MSITUNI WALIKO
Habari hizi zilielezwa na mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa na kuthibitisha kuwa ni mmoja wa member wa kundi la Boko Haram na alieleza kuwa hivi sasa kundi hilo limelazimika kuhama msitu na linaelekea maeneo ya mpaka wa Nigeria na Cameroon baada ya wanajeshi wake wa ngazi za juu kushambuliwa na nyoka na kupoteza maisha.
Kumezuka hisia za kiimani kuwa Boko Haram wanaadhibiwa na mizimu ya watu waliowauwa kinyama
Jeshi la Nigeria limeshafanya juhudi za kuwaondoa msituni lakini imeshindikana na hadi sasa kundi hilo linawashikilia wasichana zaidi ya 260 na bado linaendelea kushambulia Nigeria kwa mabomu ya kutegwa.
HII NDO HISANI YA DADA YETU MPENDWA:FLAVIANA MATATA
Hiki ndicho kitu kitachofanywa na Flaviana Matata Foundation kwa wanafunzi mkoani Lindi
Posted by: TZA One
August 11, 2014
General News

Flaviana Matata foundation ambayo imeanzishwa na model Flaviana Matata siku ya leo (11/8/2014) itakuwa mkoani Lindi katika muendelezo wa kazi za kuchangia elimu.
Timu ya FMF itakuwa kwenye shule za msingi Mtua huko Nachingwea na Litingi iliyopo Lindi Mjini. Wanafunzi 700 wa shule hizi mbili watapokea vifaa vya shule kutoka Flaviana Matata foundation ambapo shughuli hii imedhaminiwa na PSPF.
Flaviana Matata foundation imewai kufanya kazi kama hizi sehemu tofauti kama Bagamoyo na sehemu nyingine kwenye project za FMF back to school project.


Sunday, 10 August 2014
Arsenal 3-0 Man City: 5 things we learned from the Community Shield
-
- Aug 10, 2014 17:04
-
- Opinion
- by EdMalyon
As Arsenal hammered Man City in the season's traditional curtain-raiser, we take a look at what we can conclude from our afternoon at Wembley
Santi Cazorla netted the opener before Aaron Ramsey doubled their lead before half-time.
Substitute Olivier Giroud scored a stunner from distance to put the game beyond a weakened Manchester City side, who were missing the likes of Vincent Kompany, Bacary Sagna, Sergio Aguero and Pablo Zabaleta.
And here are five things we learned from the Community Shield.
You can also read our match report here.
We can't take too much from this
Nobody expects Dedryck Boyata to start when Manchester City open their Premier League title defence next week, and similarly the likes of Bruno Zuculini are incredibly unlikely to feature.
But Manuel Pellegrini will still be bothered by his side's lack of cohesion and urgency.
The Chilean, usually quite reserved, was seen jabbing and prodding feverishly on the touchline during the first half as his side lacked urgency. It's not just the names that need to return to this City side, it's last season's fluency and desire.
Meanwhile for Arsenal, second string or not, it was a great way to finish pre-season with the three Germans yet to return and at least one new signing to come.
Four-four-f*****g-two
Michael Steele - The FA

It is undoubtedly a useful shape, and one that will continue to see a revival this season with the parallel rise of the 3-5-2, but up against Arsenal's classic 4-2-3-1 there was simply too much for Fernando and Yaya Toure to deal with in that central area.
Wenger's men simply overran the game in midfield early on and the champions never got a foothold. Stevan Jovetic didn't particularly drop in and help out his floundering teammates while Edin Dzeko strolled around aimlessly in attack, and it was all too easy for the Gunners.
Ram raid
Getty

This coincided with Ramsey's injury and it led to the unravelling of Arsenal's Premier League title chase, but with a fully-fit Rambo they can once more aspire to fight it out for the championship.
This new version of Ramsey can't possibly be compared to the kid that we saw two or three seasons ago.
Physically he's a different beast, and his game has evolved both defensively - where he is far better - and in terms of adding goals to his game. The Welshman could be one of the league's biggest stars if he can stay fit, but as ever with Wenger's men that seems to be a big 'if'.
New fitness supremo Shad Forsythe has got his work cut out.
Cal on me
Getty

The Englishman featured at centre-back once again for this game, mainly due to a lack of cover, but acquitted himself well against two players you'd have to consider as top-level strikers.
Wenger has hinted that Chambers may, long-term, be a defensive midfielder for his Arsenal team and that could well be the case. But the Frenchman also now knows that despite the defender's tender years, he can rely on him at centre-back against quality opposition.
(Note to Arsene: You still need to buy a centre-back though)
Attacking riches
David Price

And with Yaya Sanogo emerging from joke territory into something approaching a useful footballer, the Gunners are looking phenomenally well-stocked.
Alexis Sanchez and Alex Oxlade-Chamberlain played 45 minutes apiece, both dynamic players that bring something different to the party. We also saw Aaron Ramsey impress, Jack Wilshere looking energetic and Santi Cazorla opening the scoring in style.
Then there was Olivier Giroud coming on and netting an absolute ripsnorter, Tomas Rosicky being introduced to conrtol the game in the late stages and Theo Walcott watching on from the stands.
Oh, and Joel Campbell got five minutes to run about and cause trouble.
If Wenger buys a defensive midfielder and/or a centre-back then you can be pretty sure that everything in front of them will take care of itself this season.
Liverpool 4-0 Dortmund: 5 things we learned as the Reds signed off pre-season in style
Brendan Rodgers' side rounded off the preparations with a
comprehensive display against the Bundesliga side - here's what we
gleaned
- By Ben Burrows

Goals from Daniel Sturridge, Dejan Lovren, Philippe Coutinho and Jordan Henderson saw the Reds run out comfortable winners in front of a packed Anfield.
With their first league game against Southampton now just seven days away Brendan Rodgers is sure to have been pleased from what he saw from his new-look side.
A strong looking starting line-up, shorn only of Adam Lallana and Lazar Markovic, means plenty can be gleaned from the last outing before the big kickoff.
Here's what we and he learned from as their pre-season came to an emphatic close.
Coutinho is the perfect 10
With a certain Mr Suarez now sunning himself for four months in Barcelona there is room for one of those he left behind to take the mantle of main man.Rodgers' system is characterised by fluidity and versatility but it seems he has earmarked Philippe Coutinho as the linchpin for all of it to float around.
In both senses of the word the Brazilian playmaker was central to everything Liverpool did well on the day.
A constant threat prodding and probing and finding space he was deployed as the number 10, and while others moved around him at will, he stayed put as orchestrator in chief.
Versatile as he may be it seems that, at least to be begin with, he will be Rodgers' perfect 10 to start with.
Andrew Powell

Henderson is Mr Versatile
While Coutinho was relatively static Jordan Henderson moved all over and showed just why Rodgers rates him so highly.Last term he was used as a central midfielder alongside Steven Gerrard at times and at others in behind the infamous SAS front two.
Against Dortmund he was utilised wider on the right in an attacking three but did nothing to dampen his impact as he again looked like the £20million midfielder he was bought to be.
With numerous signings already in and more to follow there should be plenty of rotation on the red side of Merseyside this season.
But Henderson showed again why he should still be one of the first names on the sheet week in week out.
Manquillo can be the new Arbeloa
Rodgers gave new boy Javier Manquillo the nod at right back while incumbent Glen Johnson was shifted out to the left-hand side of a four-man backline.And the young Spaniard looked every inch a Liverpool player on his first outing as a Red.
The 20-year-old was good around both boxes and showed enough to suggest that Johnson may well be sweating for his first-team spot sooner rather than later.
Indeed, some interested observers were reminded of a Spanish full-back of years gone by.
Was about to tweet that, so far, Manquillo reminds me of Arbeloa in his running style and closing down.
— Paul Tomkins (@paul_tomkins) August 10, 2014
Injured Lallana and Markovic won't be missed
At times last season the Reds were rightly or wrongly labelled a one-man team.But that won't be a criticism going through this campaign.
Even shorn of new boys Adam Lallana and Lazar Markovic, Rodgers' side looked a real threat whenever they went forward.
Instead of relying on a certain Uruguayan every week the Reds boss now has a wealth of attacking talent at his disposal.
Sturridge, Sterling, Coutinho, Henderson, Lambert, Suso and Ibe with Lallana and Markovic still to join them should strike fear into opposition managers from the word go.
Sturridge CAN fill the Suarez void
He may have only got on the scoresheet once against Dortmund but the England man showed signs that he will embrace the role as the Reds number one goalgetter.The nonchalance of the finish for the opener speaks of a man completely comfortable with what he has been tasked to do this season.
Sturridge now looks a world away from the petulant and volatile youngster of just a few years ago - instead he looks every inch a top quality centre forward and should relish the challenge going forward.
Leading the line for one of English football's biggest clubs doesn't look like it will phase the 24-year-old one bit, something that should have already excited Reds fans salivating.
Women Now Able To Pee Standing Up Using This Weird New Product

*Magical flowers sold separately.
What a milestone for women. In 1920, women were allowed to vote. In
2013, women were allowed to serve on attack submarines. In 2014, women
are now able to stand up and pee without making a mess with this new
"one and done" pee product.That's right, with the new Stand Up line of upright peeing products, women are now able to pee literally anywhere like us guys without looking so girly about it. Sure, there have been other products like GO-GIRL that allow women to pee while standing, but this seems to be the first which allows women to throw it away instead of being forced to wash it out like a maniac. These things should be used like toilet paper, not a dinner plate.
Created just this year in San Francisco, the product's site states that they are "committed to providing all women a hygienic and dignified bathroom experience, we invented 'The Stand Up': a biodegradable, disposable peeing accessory that helps women keep their distance from the mess and feel the freedom to go anytime, anywhere." Personally, I think it looks like a party hat.

The Superwoman Pack = 36 Stand Up's. That's a lot of peeing.

What does everyone think? Is this a necessary product in a world where women are sick and tired of sitting on toilets? Does the color scheme in these pictures burn your retinas too? Please let us know in the comments, I need to know.
Of course this product doesn't negate the ole pull back and shoot method. Yeah, that's right, I know about that one.

Saturday, 9 August 2014
Picha 5 za ajali ya kuungua kwa basi la 5 Aliance leo
Posted by: Askofu TZA
August 9, 2014
Hili ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es salaam limeungua asubuhi ya August 09 likitokea Mtwara kuelekea Dar es salaam.
Taarifa ya awali inasema kuwa hakuna abiria aliyepata madhara yoyote juu ya kuungua kwa basi hili ambalo limeteketea kijiji cha Mihambwe mkoa wa Lindi.
![]() |
Basi likiungua hapo |
![]() |
Add caption |
![]() |
![]() |
Kabla ya moto |
Subscribe to:
Posts (Atom)